Mainoo Afurahia Ten Hag Kubaki

Makala iliyopita
Mzee Magori Awatuliza Simba Usajili.Makala ijayo
Dumfries: Bado Nipo Sana Inter
“Ameshinda vikombe viwili tayari, tunatumaini kuna zaidi vitakuja.”
Kocha Erik Ten Hag ataendelea kua kocha mkuu wa klabu hiyo msimu ujao huku mazungumzo ya kuongezewa mkataba mpya yakiwa yanaendelea, Jambo limemfurahisha sana kiungo kinda Kobbie Mainoo mwenye umri wa miaka (19)kutokana na uaminifu ambao amempa.