MAKOCHA SIMBA NA YANGA WANAOGOPANA

Makocha wa Yanga na Simba wameelezea ugumu wa mchezo wa nusu fainali ya Ngao ya Jamii kati ya timu hizo Agosti 8 wakitahadharisha kwamba klabu zao zitacheza kwa makini ili kupata ushindi.

 

Kocha Mkuu wa Yanga, Miguel Gamondi na Fadlu Davids wa Simba wameeleza hayo Dar es Salaam leo wakati wakizungumza na waandishi wa habari kuelekea mchezo huo.

 

Kocha Gamondi amesema hakuna mnyonge katika mechi hiyo na anajua mpinzani wao ana timu mpya hivyo kwa pamoja watachukua fursa hiyo kuonesha ubora wao.

 

“Kimsingi mchezo huu mizani ipo sawa kwa pande zote 50/50, ni muhimu sana kuendea mchezo huu kwa umakini mkubwa,” amesema Gamondi.

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.