Hali sio shwari katika klabu ya Man City baada ya maambukizi ya COVID19 kuendelea kushika kasi, Guardiola kuwakosa wachezaji watano kuelekea mchezo dhidi ya Chelsea.
Wiki iliyopita, City walishindwa kucheza mechi yao dhidi ya Everton kutokana na ongezeko kubwa la waathirika wa COVID19, licha ya Guardiola kusema alikuwa na wachezaji wakuweza kucheza mchezo ule, usalama wa wachezaji ni kitu kikubwa zaidi.
Akizungumzia athari za COVID19 kwenye kikosi chake, Pep Guardiola amesema “sidhani kama Premier League inaturuhusu kuwataja wachezaji (waathirika), lakini mtawajua jumapili.
“Tulitaka kucheza lakini siku ya mchezo, kwa idadi ya waathirika, tuliwataarifu Premier League.

“Mimi binafsi nilimpigia simu meneja wa Everton (Carlo Ancelotti) na kumueleza kinachoendelea kwa sababu siku moja kabla ya mchezo tuliwasiliana kuhusu hatari inayoweza kutokea.”
Kwa taarifa za awali, Man City itawakosa Kyle Walker, Gabriel Jesus na wengine watatu ambao majina yao hayajawekwa wazi.
Upande wa Chelsea, Hakim Ziyech anaweza kurudi uwanjani kwenye mchezo wa kesho baada ya kukaa nje ya uwanja kutokana na majeruhi.
VUNA SHEA YAKO YA 230,000,000TSH NA UFURAHIE MSIMU HUU WA SIKUKUU!!!
Kupitia Kasino ya Mtandaoni ya Meridianbet, jiwekee nafasi ya kupata shea yako ya 230,000,000Tsh kupitia mchezo wa Secret Santa. Hakika hutojutia kufurahia msimu huu wa sikukuu ukiwa katika nyumba ya mabingwa ya Meridiabet. Unasubiri nini?




warda
Hii Corona sasa inataka kutuharibia mambo
Rahmal
Corona jaman sio poa
Adelta
Coronavirus sio poa mwenyezi mungu atuepushe
Gabriel
Majanga makubwa sana
Magdalena
Huu ugonjwa ni balaa
Caroline
Corona noma sana
Chiku
Kila lenye mwanzo lina mwisho kila kitu kitaenda kama kilivo pangwa
Sarah
Huu ugonjwa nishidaa
Dorophina
Man city wamepata pengo kubwa sana
Latifa juma mohamed
New upadates
Tatu
Pole yao
Saupha mohamed
Corona nomaaa
Sania
Corona tishio
Mwanahamisi
Pole yao
Ernest Kimeru
Corona hatari sana
Hopemwaikuka
Majanga sasa
Lydia Emmanuel Magoti
Duuu Corona sio poa
Angelina
Corona iishe tu jaman
Sabrina
Duuh hatari