Katika hali isiyo ya kawaida msimu huu, Ligi Kuu Uingereza – EPL inakumbwa na idadi kubwa ya majeruhi. Kama ilivyo kwa vilabu vingine, Man City idadi ya majeruhi inaongezeka kwa kasi.
Pep Guardiola atamkosa Fernandinho kwa takribani wiki 6 baada ya kupata majeruhi katika mchezo dhidi ya FC Porto.
Kuumia kwa Fernandinho kunaongeza idadi ya wachezaji majeruhi kwenye kikosi cha Man City kufikia 6. Gabriel Jesus, Nathan Ake, Benjamini Mendy, Kevin De Bryune na Aymeric Laporte wanakamilisha idadi hiyo.
“Ni habari mbaya, ameumia sehemu aliyowahi kuumia kipindi cha nyuma. Atakuwa nje kwa muda mrefu.
“Inaweza kuwa wiki 4 mpaka 6. Ni hali mbaya kutokana na idadi ya mechi tulizonazo na hatuna wachezaji wa kutosha.” alisema kocha wa Man City – Pep Guardiola.
Man City watacheza na West Ham United kabla ya kuwafata Marseille na kisha kupambana Sheffield United zikiwa ni mechi 3 zinazofuata katika ratiba ya Pep Guardiola.
Ondoka na Mkwanja Kwenye Tsh. 160,000,000
Hii ndiyo burudani yenye ushindi! Ingia kwenye kasino ya Meridianbet kufukuzia ushindi huu.
aisha
Pokeni sana club ya man city kuongezeka kwa majeruhi ni bonge la pigo
Sabrina
Duuh ishakua kesi watu 6 wote majeruhi ila tuwaombee wapone mapema warudi mchezoni
felister
sad news
Khadija
Duh!!pole yao
Zeiyana
Man city wanaali mbaya sana wachezaji tegemezi wote wajeruhi
Fatuma kasomo
Duh poleni
Rose kapinga
Hayo majanga sasa
Theonestina
Duuuh majanga
magdalena
duh hii balaa sasa maana mchezo unaokuja utakuwa mgumu sana upande wao
Adelta
Man City poleni Sana
Dorophina
Man City naona kama msimu huu wameandamwa na majeruhi sana itawasababishia kupoteza michezo mingi sana wasipokuwa makini
Elika
Pole sana kwa city
Caroline
Punguzeni kucheza rafu.
Lydia Emmanuel Magoti
Duu sio poa
Tatu
Sio habari nzuri
Janeflora malisa
Hil ttz sasa
Janeflora malisa
Umakin muhim ‘ piah poln
Mwajumah
Pole yao
Hopemwaikuka
Get well soon champ
Gabriel
Habar ya kusikitisha
Issa
Ni wakat mgum kwa pep
Povel
City msimu huuuuuu nawasiwasi nao kwny kufany vzr kwny mashindAno ya ndani na nje Kama watafanya vzr msimu huuu
Warda
Ndo vizur waongezeke tu
Saupha mohamed
Pole sana
Latifa juma mohamed
Daah city msimu huu wanakuwa na Hali mbaya kutokana na wachezaji wengi kuwa majeruhi.
Sauda
Du! majanga
Fatina mfigi
Chezen kwa umakin
Mwanahamisi
Duuh sio poa