Chelsea anasafiri kuumana na man United, ambao bado watakuwa wanatarajia kuendelea kuwa na matumaini ya kumaliza kwenye nne bora baada ya mechi ya Alhamisi Jioni.

Mashetani Wekundu, walikubali kichapo cha bao 3-1 dhidi ya Arsenal wikiendi iliyopita, wakati vijana wa Thomas Tuchel wakipata ushindi dakika za nyongeza.

Wakati Raphael Verane akirejea kwenye kichapoi dhidi ya Arsenal, Paul Pogba, Edinson Cavani na Luke Shaw bado wanaonekana kutia shaka kwa Man United kuelekea Man United vs Chelsea.

Premier League, Man United vs Chelsea: Head to Head, Vikosi Vitakaaje?

Jesse Lingard na Juan Matta wanatajwa kumpa ushindani Fernandes.

Kwa upande wa Chelsea, Ben Chilwell na Callum Hudson-Odoi amabao hawajakuwepo kwa muda mrefu, pamoja na Mateo Kovacic wanaonekana kuendelea kuwa changamoto kwa the Blues.

Man United vs Chelsea: Vikosi vinavyotarajiwa

Manchester United:
De Gea; Dalot, Varane, Maguire, Telles; McTominay, Fred; Elanga, Fernandes, Sancho; Ronaldo

Chelsea possible starting lineup:
Mendy; Chalobah, Silva, Rudiger; Azpilicueta, Kante, Jorginho, Alonso; Mount, Pulisic; Havertz

Fomu ya Man United vs Chelsea:

 Man United vs Chelsea Vikosi, Man United vs Chelsea Team

Wataalamu wanatabiri Man United 0-1 Chelsea. Wewe unasemaje? Weka jamvi lako HAPA

 

JIBU

Tafadhali andika maoni yako
Tafadhali andika jina lako hapa