Manchester United imewaambia wachezaji wake ambao wake nje ya nchi kipindi cha mlipuko Corona warejee UK wiki hii.
Agizo hilo linakuja baada ya vilabu vya Premier League kuonyesha nia ya kutaka kuanza mazoezi hapo baadae mwezi huu chini ya Muswada wa Project Restart, ambao umewasilishwa kutoka kwa Madaktari wanne wa vilabu vya EPL.
United bado hawajatoa tarehe rasmi ni lini mazoezi yataanza kwa Ole Gunnar Solskjaer katika uwanja wa mazoezi wa Carrington.
Bruno Fernandes, Fred, Victor Lindelof na Sergio Romero ni moja ya wachezaji ambao walipewa ruhusa ywa kuondoka Uingereza mnamo Machi baada ya kuomba ruhusa kwa klabu.
Premier League inaamini ligi itaendelea Juni, katika viwanja teule bila mashabiki, lakini muswada umewasilishwa unasubiri ruhusa ya serikali.
Vilabu kadhaa vya EPL kwa utaratibu wa kukaa mbali mwezi uliopita wakati wengine wanasubiri mapitio ya zuio la Lockdown ambayo ni Mei 10.
United wapo nafasi ya tano nyuma ya Chelsea kwa pointi tatu kwenye msimamo wa EPL, ikiwa bado michezo tisa.
Povel
Ni hatua nzuri sana na mAtumaini ligi itarud soon maana wapenz wamichezo tumemis kwa muda mrefu Asante meridian kwa habari
mwakalosi
Wanaume warudi kazini tukajihakikishie nafasi ya uefa
SADICK
👍👍👍👍👍👍👍 Asante #meridian kwa habari motomoto
Furahav
Safi rudini muje kuchukua taji la ligi.
Lombo
mambo n motooo
Elika
Kazi kazini
Antony Luseno
Kumekucha lzm itajulikana
Asia Abdy
Hii itakua poa kufanya mazoez wawe fiti hata hapo ligi ikianza
Lydia Emmanuel Magoti
Safiii ludini mjekuchuku taji laligi
Amani
Chama langu pigeni jalamba
Nasra
Taji la ushindi linawasubiri
David Pere
Meridianbet Sasa Raha tupu ukitaka kubashiri unaweza ukitaka habari zipo nomaa sana
mathayo sonje
man u wanafanya vizuri kuwaandaa wachezaji wake ila inabidi wawe makini maana kila mmoja anatoka sehem mbalimbali ambazo ziliatholiwa na corona.
Warda
Bora bwana mana sie wateja sie bila league ni mtihan
Hamidu
Asantw .meridianbet kwa taarifa nzuri
aisha
bora maana nilikua sina raha
WINFRIDA
mda wa kupata mapene asante meridian kwa taarifa
Njiku
Ni hatua nzuri sanaaa kwa club ya man u kuwardisha wachezaji wake mapema
Hopemwaikux
Mambo yakupga mpunga yanakuja sasa
Waziri
Chama la Wana dimbani ahsante meridianbet kwa kutujuza Mambo ya duniani
Neema juma
Afadhalii jamani tulimic mapenee #meridianbet