Manchester City Dhidi ya Arsenal ngoma imeisha Sare
Makala iliyopita
Rodri Apata Majeraha Dhidi ya Arsenal
Makala ijayo
Inzaghi: “Milan Ilistahili Ushindi Dhidi ya Inter”
Kabla ya kipindi cha kwanza kumalizika Arsenal walipata goli la pili kwa mpira wa kona uliochongwa vizuri na Bukayo Saka na beki Gabriel Magalhaes kuuweka wavuni dakika ya 45+1 kipindi, Huku dakika mbili mbele kwa maana ya 45+3 winga Leandro Trossard akionyeshwa kadi ya pili ya njano na kutolewa nje ya uwanja na kipindi cha kwanza kumalizika kwa Arsenal kua mbele.