Wakati msimu mpya ukiwa ndiyo kwanza unaanza, Lionel Messi bado anaendelea kugonga vichwa vya habari juu ya hatma yake klabuni Barcelona. Manchester City wana nafasi yeyote?
Messi alihitaji sana kuondoka Barceloma, lakini Barcelona walifanya walivyoweza kubakiza.
Manchester City ni klabu iliyohusishwa kwa ukaribu zaidi na saini ya Messi, na bado Pep Guardiola anatajwa kuwa ndoto yake ya kumleta Messi Manchester City bado inaishi.
Ripoti zinasema kuwa Manchester City wanatarajia kuifukuzia tena saini ya nyota huyu mwisho wa msimu huu.

Matarajio ya wengi yalikuwa Messi angekamilisha uhamisho wake kuimba Barcelona baada ya kuwasilisha ombi la uhamisho.
Kwa maana hiyo, City wataendelea kuwa karibu na kinachojiri Barcelona, kama Lionel Messi atakuwa tayari kuondoka msimu ujao basi Pep Guardiola atafanya awezavyo kuipata saini yake.
Hata hivyo, sio Manchester City pekee ambao wanaiwinda saini yake, vilabu vingine kadhaa wakiwepo Inter Milan, wanatarajiwa kuwa wataingia sokoni kuiwinga saini yake.
Sasa unaweza kuweka pesa moja kwa moja kwenye akunti yako ya Meridianbet kwa kutumia mtandao wa Airtel. Usipate wasi wasi, tunaifanya kazi kuwa rahisi zaidi!


Sylvester
City waache wakomae ili kuipata saini ya Messi mwakani kwani tunamuhitaji Uingereza
Povel
City Wana nafasi kubwa sana ya kupata saini ya mchezaj huyo kwn maisha ya la pluga Messi ndani ya Barcelona yamefikah tamati hvy city wananafasi kubwa kutwaa sain ya Messi kikubwa kukubaliana na uongozi wa Barcelona na Messi mwenyew hapo ndipo Messi hataruhusiwah kuondoka ndani ya viunga vya nou camp
Rehema
Bonge la makala
Sabrina
Man city wafanye hivyoo msimu ujao Messi aje
Amiri Kayera
Eeh hakuna kunevergive up
Issa
Mess ni ngum kusepa barca na city wavunje benk kumtwaa
Nasra
Asantee kwa makala
Salma ngende
Wamuuche atulie na Barcelona yake
Zahara omary
Safii
Saupha mohamed
Man city ajitaidi kwa messi imchukue
Neema
Hiyo ni ndoto tu ila Messi anaipenda Barcelona
Sauda
Messi hawez kuondoka Barcelona
Fatina mfingi
Messi anaipend Barcelona uko kwingine Ana mpango napo
Mwajumah
Messi anaipenda barca iyo ni ndoto tu kwa man city
Adelta
Wanazingua kabisaa MESSI hawezi kuondoka Barcelona
Gabriel
Barcelona yamefikah tamati hvy city wananafasi kubwa kutwaa sain ya Messi kikubwa kukubaliana na uongozi wa Barcelona na Messi mwenyew hapo ndipo Messi hataruhusiwah kuondoka ndani ya viunga vya nou camp
Ernest
Itakuwa Vizuri sana kwa Messi kumalizia Soka lake au kucheza kidogo ligi ya Uingereza kabla hajamaliza soka lake
Janeflora malisa
Asnt kwa taarif
Venerose
Makala imekaa vinzur
Lydia Emmanuel Magoti
Kumbe City awajamalizana na Messi mazungumzo lakini siombaya Messi kumalizia soka lake Uingereza
Caroline
Messi si ameshadecide kubaki Barcelona Sasa man city wanatafuta nn tena
Angelina
City sijui kama wataweza dau la messi
Elika
Man city wafanye kweli nao
Rose kapinga
Man city wana moyo wa ajabu hawakati tamaa tuu!!!
aisha
Messi nenda tuu city ili ukakiwashe hapo mwakani naona kama mbali vile
Ester mmakasa
Wasikate tamaa watafanikiwa kumpata Messi.
Zeiyana
Messi hana mpango wakuondoka tena Barcelona ule ulikua ni mpango tu wakuipa nafasi clabu kusajiri wachezaji chipukizi wenye uwezo ili kukamilisha kikosi chao kuwa kwenye ubora lakini messi kuondoka pale man city wasahau hilo
Shan
Mess hawez kwenda City barca inamuamin sana
Hidaya
City wakikaza kweli watamng’oa messi
felister
city hakuna kukata tamaa
Fatuma kasomo
Gud news
Genia Sikaluzwe
Safi
magdalena
messi sizani kama anaweza kuama barcelona mancity watoe tu ayo matumaini
Rehema
Safi
Khadija
Asante kwa nakala