Manchester Derby nani kukufukia kwa mwenzake?

Miaka ya karibuni klabu ya Man United imeonekana kukumbana na vipigo vingi zaidi kwani katika michezo mitano ya mwisho wamefungwa michezo minne na kupata ushindi mchezo mmoja tu, Leo ni siku ambayo wanaweza kufuta uteja ambao wamekua nao miaka ya karibuni mbele ya mahasimu wao wa karibu kabisa.
Makala iliyopita
Arsenal, Liverpool Wabanwa Ligi kuu Uingereza