Manchester United Kumsajili Rabiot

Makala iliyopita
Deco: Hatujamsajili Nico Williams kwakua Tuna Wachezaji BoraMakala ijayo
Dodoma Jiji Kukiwasha na Namungo Leo
Manchester United wanamuona Rabiot kama mchezaji ambaye anaweza kuimarisha eneo lao la kiungo licha kumsajili mchezaji Manuel Ugarte kutoka klabu ya PSG, Hivo mpaka sasa inaelezwa kama mchezaji huyo atakubali ofa ambayo mashetani wekundu watampatia basi watamsajili.