Manchester United Kikaoni Kujadili Hatma ya Ten Hag

Makala iliyopita
Bremer Kufanyiwa Upasuaji wa Goti LeoMakala ijayo
Maguire Kukaa Nje Wiki Kadhaa
Mpango unaelezwa ni kuachana na kocha huyo ambaye aliongezewa mkataba mpya dirisha kubwa lililopita ambapo mkataba ungemuweka mpaka mwaka 2026 mwezi Juni, Lakini kutokana na mwanzo mbovu ambao klabu hiyo imeanza nao msimu huu kwenye michuano ya ligi kuu ya Uingereza pamoja na michuano ya Europa.