Manchester United Kubeba Wawili Bayern

Makala iliyopita
Girona Yaendelea KuvunjwaMakala ijayo
Taremi Hatiani Kukosa Mechi za Kwanza za Serie A
Man United kwasasa hawana budi kupambana kukamilisha dili la Mathijjs De Ligt kutokana na majeraha ambayo ameyapata beki mpya waliyemsajili klabuni hapo Leny Yoro, Huku beki Mazrauoi yeye akiwa anategemea zaidi kuondoka kwa beki Wan Bissaka ambaye ane yupo mbioni kuondoka ndani ya timu hiyo.