Manchester United Kumuongezea Mkataba Mainoo

Makala iliyopita
Ederson: Vini Anastahili Kushinda Ballon DorMakala ijayo
Manchester City Yapata Mkurugenzi Mpya wa Michezo
Mpaka sasa hakuna makubaliano baina ya pande zote mbili kwa upande wa klabu na mchezaji lakini upande wa klabu unapambana kwa kiwango kikubwa kuhakikisha kabla msimu haujamalizika wanampa mkataba mpya ambao utakua na maslahi makubwa zaidi ya mkataba ambao anao kwasasa.