Manchester United Kuwapindua tena Milan kwa Fofana

Makala iliyopita
Chido Obi Martin Akamilisha Vipimo vya Afya Man UnitedMakala ijayo
Djigui Diarra Awapa Mafunzo Mshery na Khomein.
Youssouf Fofana mpaka sasa inaelezwa amefikia kwenye hatua nzuri ya kujiunga na klabu ya Ac Milan akitokea klabu ya Monaco ya nchini Ufaransa, Lakini Man United wanajiamini na wanaona wanaweza kuwapindua Ac Milan na kuweza kumnasa mchezaji huyo kama walivyofanya kwa Joshua Zirkzee.