Aliyekuwa bosi wa zamani wa Italia, Juventus na pia mshindi wa Kombe la Dunia Marcello Lippi alisema “amemaliza kabisa” na ukocha.
Marcello Lippi amekaa bila kibarua kipya tangu ajiuzulu kuwa mkufunzi mkuu wa China Novemba mwaka jana kufuatia kushindwa kwa kufuzu kwa Kombe la Dunia la 2022 dhidi ya Syria.
Mchezaji huyo wa zamani mwenye umri wa miaka 72 alitwaa taji akiwa Italia, kwa mabingwa wa Serie A Juventus na pia akiwa Uchina kwa Guangzhou Evergrande, lakini Muitalia huyu hatarajii kuendelea na ukocha.
“Hakika nimemaliza na kazi ya ukocha, Hiyo ni kweli, inatosha. Labda ningeweza kuwa na umuhimu katika majukumu mengine, wacha tuone. Lakini hakuna chochote hadi masik.” -Marcello Lippi
Baada ya kumalizna na Atalanta na Napoli, Lippi alichukua umeneja Juventus mwaka 1994 – akiwaongoza Juve kutwaa mataji matatu ya Serie A na kombe la mwisho la Klabu Bingwa mnamo 1995-96.
Baada ya kufanya kazi nzuri na Juventus alipata kibarua katika timu ya taifa ya Italia mwaka 2004, na kuwaongoza kutwaa ubingwa wa dunia mwaka 2006.
Mwaka 2012 Marcelo Lippi aliamua kwenda China ambako pia ana kumbu kumbu nzuri ya mafanikio yake ya soka. Matarajio yake siyo kuwa meneja tena, lakini anaweza kuendelea kutumika kwa namna nyingine kwenye soka.
Ondoka na Mkwanja Kwenye Tsh. 160,000,000
Hii ndiyo burudani yenye ushindi! Ingia kwenye kasino ya Meridianbet kufukuzia ushindi huu.
Lydia Emmanuel Magoti
Marcello kaongea kitu sa hii Sana mambomengine yafatwe kwenye mwendesho wa krab
Adelta
Ni jambo jema
Elika
Vizur
Janeflora malisa
Safi
magdalena
marcello kaona sasa apumzike aachane na swala la kufundisha mpira
Dorophina
Umri umeenda ni bora apumzike tu
Mwajumah
Ni jambo jema kupumzika kwan umri umemtupa mkono
Hopemwaikuka
Umefanya kwa nafas yako pumzika sasa
Caroline
Ni haki yako kupumzika.umri umesogeaaa
Khadija
Habari njema
Gabriel
Umri umeenda ni bora apumzike awaachie vijana wapige kaz
Tatu
Safi kapumzike tu
Issa
Kocha aliewapa italy kombe la dunia
lombo
asante meridianbet kwa habar moto moto
Povel
Pumzika LIPPI kitabu chako cha ukocha kimeshafungwa tayarπ€π€π€π€π€
Rehema
Habari njema
Devotha
Umri umemtupa mkono
Warda
Kafanya poa sana
Sabrina
Kazi na umri inapendeza sana ukipumzika
Saupha mohamed
Habari njema
Sauda
Afadhali akapumzike
felister
umefanya kile ulichostahili ni wakati wako ss wa kumpumzika
Fatina mfingi
Mapumziko mema mengi makubwa tumeona
aisha
Namkubali sana jamaa huyu
Janeflora malisa
Vzr
zeiyana
lippi historia yake haiwezi kufutika