Baada ya kujikuta akisugua benchi kwa muda ndani ya kikosi cha United, beki Marcos Rojo amerejea nyumbani kwao – Argentina.
Rojo amesitisha mkataba wake na Man United na amesajiliwa na Boca Junior kwa mkataba wa miaka miwili na nusu kama mchezaji huru.
Rojo alijiunga na Man United 2014 na aliitumikia timu hiyo katika michezo 122 na kufunga magoli 2 pekee.
Akiwa na United, Rojo amebeba mataji kadhaa ikiwa ni pamoja na FA Cup, Carabao Cup, Europa League na Ngao ya Hisani.
Neptune’s Richies ni mchezo Unaokupa pesa chap chap huku ukiwa unaburudika kupitia Kasino ya Mtandaoni ndani ya Meridianbet.
Issa
Rudi home
Janeflora malisa
Nyumbn kumenog wlcm
Magdalena
Duh Bora amerudi nyumbani kwao atapata muda wa kutosha wa kuuchezea mpira
Rahma
Nyumban ni nyumban tu
Adelta
Nyumbani ni nyumbani njoo upate nafasi ya kucheza
Caroline
Ila kasugua benchi sana
Dorophina
Kila lakheri marcoss
Venerose
Mwenda kwao si mtumwa rudi nyumbani
Hopemwaikuka
Go east go west home is the best
Sarah
Nibora amerudi nyumbani ni nyumbani
Sania
Habari njema kwa wana Argentina
Lydia Emmanuel Magoti
Habari nzuri hii
warda
karibu