Maresca: Tunaweza Kusajili Mshambuliaji

Makala iliyopita
Bellingham Nje MweziMakala ijayo
Ancelotti: Hatuna Mpango wa Kusajili
Licha ya klabu ya Chelsea kufanya usajili wa wachezaji wengi lakini bado safu yao ya ushambuliaji inaonekana kua na mapungufu jambo ambalo linafanya klabu hiyo kufikiria kutafuta mshambuliaji mwingine sokoni ambaye atakua na ubora mkubwa na kuleta utofauti ndani ya timu hiyo mpaka sasa.