Markus Gisdol Avunja Mkataba na Lokomotiv Moscow

Kocha wa klabu ya Lokomotiv Moscow Markus Gisdol mwenye asili ya Ujerumani amevunja mkataba na klabu hiyo kutoka na kupinga uvamizi uliofanywa na nchi ya Urusi kwenye taifa la Ukraine.

Klabu ya Lokomotiv Moscow ilitoa waraka mfupi uliosimeka “Markus Gisdol ameondolewa kwenye nafasi yake ya kocha mkuu wa klabu” baada ya kuwa kocha kwa miezi minne kwenye klabu hiyo aliliambia German tabloid Bild, alikuwa anaunga mkono kupinga kwa kukataa kufanya kazi kwenye nchi ambayo kingozi wake anahusika na uchokozi wa kivita katikati ya bara la ulaya.

“siwezi kusimamia mazoezi jijini moscow, makocha na wachezaji wanapaswa kusimamia taaluma na kilomita kadhaa kwenye mipaka kuna watu wanateseka  kwa sababu ya vita iliyoanzishwa na kiongozi wa nchi kwa matakwa yake.”

Lokomotiv Moscow ni timu inayomilikiwa na shirika la reli nchini Urusi na ni moja ya timu ambazo zimewekewa vikwazo na nchi ya Marekani wiki iliyoisha, Markus Gisdol alichaguliwa kuwa kocha wa timu hiyo mwezi oktoba  kipindi ambacho mkurugenzi wa michezo  Ralf Rangnick alikuwa anahamia klabu ya Manchester United.


KASINO YA MTANDAONI: EMOTICOINS SABABU YA KUVUNA ZAIDI.

Haijawahi kuwa rahisi hivi kwenye safari yako ya kuvuna mkwanja, kasino maridhawa ya meridianbettz inakuletea mchezo wa Emoticoins unaokupa nafasi ya kufanya safari yako kuwa rahisi zaidi. Wakati ni wako nafasi ni yako na Emoticoins.

senegal, Senegal Mabingwa AFCON 2021., Meridianbet

CHEZA HAPA.

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.