Idadi kubwa ya mashabiki wa Liverpool walijitokeza kushangilia ushindi wa taji la Ligi Kuu baada ya kusubiri kwa miaka 30.
Polisi walilazimika kuwatia nguvuni mashabiki 10.
Licha ya kuendelea kuwepo kwa masharti ya kutokukusanyika, mashabiki wa Liverpool uzalendo uliwashinda wakishindwa kuzuia hisia zao.
Mashabiki hawa wamesubiri kwa mda mrefu timu yao kuinua taji la EPL. Na mara baada ya kutangazwa washindi, huku wakiwa wamebakiza mechi 7 mkononi, mashabiki waliingia mtaani.
Askari wa Merryside waliwatia nguvuni watu mashabiki 10 kwa makosa ya kukiuka maagizo kwa umma, usiku ambao shangwe za kuondokana na ukame wa mataji Liverpool zilitawala.
Maelfu ya mashabiki walijitokeza pale Anfield na katikati ya jiji baada ya kutangazwa ubingwa. Baada ya Chelsea kuwatandika Man City bao 2-1, mashabiki walianza kufurika nje ya uwanja. Idadi ilizidi kuongezeka huku mashabiki wakipuuza sheria ya kukaa umbali wa angalau mita 1.
Shafii
Wanastahili ni miaka mingi Sana katika soka hawajaligusa wala kulisikia saivi ni wakati wao
Mwajuma
Da wamesota kwa miaka mingi sana hivyo wanahaki yakushangilia
Gabriel
Hii n furaha kubwa sana kwa mashabiki wa Liverpool kwa waswahil tunasema adui wako muombee njaa atakuheshim tu ata Kama alikuwa shujaa ndo kitu kilichowakuta club ya man city walivyokuwa wakicheza dhid ya Chelsea n mchezo ambao kila mtu alikuwa anahamaki kuangalia man city watafanye waweze kutwaa point hzo ila matokeo dak 90 ndipo Chelsea alivyofanya maajabu kuitandika man city na kuifanya kupoteza point muhim
Mashabiki wa Liverpool wako nafuraha kubwa sana ya kutangaza ubingwa takriban miaka 30 hivy walikuwa wanaisikia EPL
Nice update 👍
# meridianbet Tanzania
neema hassan
Uzalendo umewashinda mashbk wa liverpool
David Pere
Duhh Hawa mashabiki wa Liverpool kweli no Nina kocha ya kiwepo na corona bado wanaeshangilia tu mitaana
Fatuma kasomo
Muda sana hawajalishika saivi niwakati wao
Rehema
Hii makala mzuri sn
mwakalosi
dah hawa jamaa yaani walikuwa na kiu sana na ubingwa wamechukua kipindi kizur cha corona maana wangefanya sana fujo
Evaluziga
Muda Sana hawajalishika kwa Sasa ndio muda wao
Elika
Wawaachilie tu hao mashabiki walionyesha hisia zao jamani,ni mda mrefu sana ulipita kwa Liverpool na sasa ni mabingwa
Hamidu
Duu. Mashabiki wa Liverpool siku zote wanapenda vurugu .waache wakamatwe.
Omary lukumbi
Walistahili ubingwa kwa club ya Liverpool kwa takriban miaka 30 bila kua na kombe la ligi kuu uingereza na mashabiki walikua na hamu kubwa kuona jambo likitokea kwenye club yao mpira ni hisia na hisia humfanya mtu akafanya vitu ambavyo hata mwenyewe hakukusudia ilq tahadhali muhimu hasa kipindi hiki cha covid 19
Antony Luseno
Mengi yatajitokeza kwa wadau wa klabu ya liver kutua ubingwa asa England
Mwanahamisi
Mashabiki wa riverpool uzalendo uliwashinda wameshindwa kuzizuia hisia zao
Tahiya
Walivumilia vya kutosha waacheni wafurahie
Mariam mtandama
Duuuh
Zeiyana
Mashabiki was Liverpool wanafuraha kubwa sana ya kutangaza ubingwa walio kua wanausubir takribani miaka 30 walikua wanaisikia sikia tu EPL
Magdalena
Askari wamefanya makosa wasingewakamata sababu ni wanashangilia ushindi wao waliouoambania kwa muda mrefu
Juliet
Viva Liverpool#meridianbettz
Genia Sikaluzwe
Ni habari mbaya Sana hizi tatizo wa shabiki wa Liverpool wanavulugu sana
Caroline
Jmn raha zimewazidi.wawaache tu
Khadija
Haaah jamani hawajatendewa haki kwan walimic sana gem na ndio maana wakashindwa kujizuiya wakajikuta wanashangilia#meridianbettz
Lydia Emmanuel Magoti
Duu mashabiki waliverpool wanapenda ushangiliaji wavulugu ndomana Wana kamatwa
lombo
duuh hatar watu wameshangweka adi wanakatwa
felister
uzalendo umewashinda wameahindwa kuzuia hisia zao
Dorophina
Mda mrefu wawaache tu washangilie maana wameliangaikia htr
Sadick
Mashabiki wa Liverpool wanajulikana duniani kwa mzuka. Ni jambo la kufurahisha kupata kombe baada ya kusubiri miaka 30#meridianbettz
Devotha
Yani wasingeweza kuzuia hisia zao mashabiki wa Liverpool wanajulika
Ernest
Hii issue ya social distance kwa nchi za wenzutu imekuwa changamoto sana, Lakini kwa mashabiki wa Liverpool walikuwa na haki ya kushangilia hivi maana ni furaha iliyopitiliza kwao, Miaka 30 sio mchezo!!!!
Jullie
Wawaachie tu watu wako na furaha jamani
Rehema Dickson
walikua na hamu kubwa kuona jambo likitokea kwenye club yao mpira ni hisia na hisia humfanya mtu akafanya vitu ambavyo hata mwenyewe hakukusudia ilq tahadhali muhimu hasa kipindi hiki cha covid 19
Hope mwaikuka
Miaka 30 ming acha wafurah tu
Angelina
Waachwe huru tu coz ni katika kushangilia
Povel
Waache wafurah 30 wamelipata leo duh
warda
Acha tu jamani walikuwa na Ukame sana #Meridianbettz
Frank Patrick
Nguvu ya shabiki hahahaha uongozi utafanya utaratibu watawalipia fine watatoka
Furahav
Wasamehewe tu,mana sio kosa lao furaha imezidi kina.
Neema juma
Duuu kwahiyo ndouzalendo uliwashinda ?
Amiri Kayera
Kwakwer fulaha yao aiwez vumilika
Ester jackson
Ni furaha kubwa sana kwa mashabiki walishindwa kuzuia hisia zao mpaka wamejisahau kama kuna sheria ambazo zimeweka wasamehewe tu mana hawakukusudia kufanya kosa ila uzalendo uliwashinda kuvumilia hizia zao kwa miaka mingi walisubitia kwa hamu kubwa hivyo sasa wameokota dodo
Njiku
Ila kwa ukamu wa kombe hapa mashabiki tena hawaangalii korona maana miaka 30 Dah sio poa furaha mpaka imezidi kina na kwakuwa korana imewaaribia sana wangejirusha sana kombe limekuja mda mbaya kwao ila sio kesi wamefurahi na polisi wawaachie tu hao mashabiki muamko ndio imefanya wasiwezee kukaa mita moja
Salma
Muda sana nifuraha ilioje
farida ahmadi
Waache wafurahi maan wamevumulia kwa kipindi kirefu San nifurah iliyopita kifan
Tatu
Furaha ikizidi mwisho majonzi