Massimiliano Allegri Aikana Spurs

Massimiliano Allegri anaripotiwa kukataa nafasi ya kuwa mkufunzi mkuu mpya wa Tottenham Hotspur.
Klabu ya London Kaskazini inatafuta mbadala wa Jose Mourinho, na bwana huyu ametajwa kama mmoja wa wanaohusishwa na kuchukua nafasi hiyo katika uwanja wa Tottenham Hotspur.

Bosi huyu wa zamani wa Juve, mwenye miaka 53 hajawa kazini tangu alipoondoka Juventus msimu wa joto wa 2019, lakini meneja huyo mwenye uzoefu anaendelea kuhusishwa na vilabu kadhaa vinavyoongoza Ulaya.
Massimiliano Allegri Aikana Spurs

Kwa mujibu wa AS, Tottenham hivi karibuni iliwasiliana na Allegri juu ya uwezekano wa kuchukua jukumu la kazi Spurs, lakini Muitaliano huyo alikataa habari hiyo.

Ripoti hiyo inadai kwamba mshindi huyo wa mara sita wa Serie A anamngojea Zinedine Zidane afanye uamuzi juu ya hatma yake na Real Madrid kabla ya kupanga mipango yake mingine.

Zidane anadaiwa kuwa anaweza kuondoka Los Blancos mwishoni mwa msimu, na Allegri anasemekana kutazamwa na mabingwa wa Uhispania kama mbadala wa Mfaransa huyo.

 

UNAWEZA KUWA MILIONEA WAKATI WOWOTE!

Zungusha na ushinde mkwanja wako papo hapo baada ya mzunguko kukamilika. Ni kugusa tu 🤑.

kane, Kane Aweka Wazi Maazimio Yake Kucheza UEFA., MeridianbetBASHIRI SASA

3 Komentara

    Duh balaa

    Jibu

    Mhhh

    Jibu

    Kazi ipo

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.