Mbappe na Rekodi za Mechi 9 UEFA.


Mshambuliaji matata wa Paris Saint Germain, Kylian Mbappe amekuwa na kipindi kigumu baada ya kutoka katika majeruhi, baada ya kuwa na ukame wa magoli.

Kylian Mbappe hajanikiwa kufunga goli lolote kwenye mechi 9 za mwisho za Uefa Champions League;

Vs Manchester United❌
Vs Rb Leipzig❌
Vs Instambul Basaksehir❌
Vs Manchester United❌
Vs Bayern Munichen❌
Vs Rb Leipzig❌
Vs Atalanta❌
Vs Borrusia Dortmund❌
Vs Borrusia Dortmund❌

Katika mechi hizo jumla amepiga mashuti 27 yaliyolenga lango lakini goli 0.


FURAHIA MUZIKI MTANDAONI HUKU UKITENGEZA MKWANJA!!

Mchezo wa Astro Legend unakupatia burudani ya muziki kupitia kasino ya mtandaoni ya Meridianbet. Utaburudika huku ukiendelea kutengeza mkwanja mrefu, jiunge sasa na uwe miongoni mwa mabingwa!!

INGIA MCHEZONI

21 Komentara

    Duh hii ni rekod mbaya kwake

    Jibu

    Mmmhhh abali sio nzuli kwakweli

    Jibu

    Duu

    Jibu

    Upepo umebadlka

    Jibu

    Jamani upepo sio mzuri kabisa

    Jibu

    saf

    Jibu

    Safii Sana mbappe

    Jibu

    Mbappe ni level nyingine

    Jibu

    Mbappe bado ajawa sawa ndiomaana amekosa magoli mechi zote hizo sio kawaida yake

    Jibu

    Mbape kiwango chake kinapanda na kushuka

    Jibu

    Safi

    Jibu

    Mbappe MTU mbaya

    Jibu

    Mi naona Mbappe anahitaji apewe mda ila ni mchezaji mzuri sana

    Jibu

    Mbappe jeshii

    Jibu

    Mbape ni mzuri ila bado anautoto mwingi akiacha utoto atakua mchazaji mzuri sana

    Jibu

    Safi

    Jibu

    Safi sana ila aongeze kiwango maana mbappe jina lake ni kubwa sana

    Jibu

    Mbappe jembe

    Jibu

    Mbappe fundiiii

    Jibu

    Mbappe jina kubwa

    Jibu

Acha ujumbe