Mshambuliaji matata wa Paris Saint Germain, Kylian Mbappe amekuwa na kipindi kigumu baada ya kutoka katika majeruhi, baada ya kuwa na ukame wa magoli.
Kylian Mbappe hajanikiwa kufunga goli lolote kwenye mechi 9 za mwisho za Uefa Champions League;
Vs Manchester United❌
Vs Rb Leipzig❌
Vs Instambul Basaksehir❌
Vs Manchester United❌
Vs Bayern Munichen❌
Vs Rb Leipzig❌
Vs Atalanta❌
Vs Borrusia Dortmund❌
Vs Borrusia Dortmund❌
Katika mechi hizo jumla amepiga mashuti 27 yaliyolenga lango lakini goli 0.
Mchezo wa Astro Legend unakupatia burudani ya muziki kupitia kasino ya mtandaoni ya Meridianbet. Utaburudika huku ukiendelea kutengeza mkwanja mrefu, jiunge sasa na uwe miongoni mwa mabingwa!!




Magdalena
Duh hii ni rekod mbaya kwake
Rahma
Mmmhhh abali sio nzuli kwakweli
Sarah
Duu
Hopemwaikuka
Upepo umebadlka
Adelta
Jamani upepo sio mzuri kabisa
lombo
saf
Lydia Emmanuel Magoti
Safii Sana mbappe
Caroline
Mbappe ni level nyingine
Dorophina
Mbappe bado ajawa sawa ndiomaana amekosa magoli mechi zote hizo sio kawaida yake
Issa
Mbape kiwango chake kinapanda na kushuka
Janeflora malisa
Safi
Saupha mohamed
Mbappe MTU mbaya
Samira
Mi naona Mbappe anahitaji apewe mda ila ni mchezaji mzuri sana
Sabrina
Mbappe jeshii
[email protected]
Mbape ni mzuri ila bado anautoto mwingi akiacha utoto atakua mchazaji mzuri sana
Mariam mtandama
Safi
Fatina mfingi
Sio habar nzur kwake
aisha
Safi sana ila aongeze kiwango maana mbappe jina lake ni kubwa sana
samiah
Mbappe jembe
neema hassan
Mbappe fundiiii
warda
Mbappe jina kubwa