McTominay Akumbuka Fadhila za Mourinho

Jose Mourinho alitupiwa virago na Manchester United, lakini bado ana mahusiano mazuri na wachezaji wake wa zamani.

Penati ya Bruno Fernandes ilihihakikishia United pointi moja walipocheza dhidi ya Spurs Ijumaa usiku na lilikuwa goli la dakika za majeruhi.

Tofauti na Scott McTominay, ambaye alimkimbilia Mourinho na kwenda kumkubatia baada ya mechi.

Mourinho alimpandisha McTominay kutoka akademi alipokuwa kocha wa United na kumsaidia kumbadilisha kuendana na mfumo wa Red Devils.

McTominay amekuwa akiimarika sana tangu Mourinho alipotimuliwa mwishoni mwa 2018 na amecheza mara 28 msimu huu chini ya Ole Gunnar Solskjaer.

McTominay hajasahau namna Mourinho alivyomsaidia ni mmoja ya wachezaji walikwenda kumkumbatia kocha huyo wa Spurs.

41 Komentara

    Kafanya vzr ila hapo mourhno kapata bichwa kweli na anavyopenda sifa

    Jibu

    Lazima amkumbuke Ndio alimpandisha kikosi Cha kwanza

    Jibu

    Anakumbuka fadhira

    Jibu

    Lazima amkumbuke pia sababu mournho anajua kuendana na wachezaji wake

    Jibu

    Vzur

    Jibu

    Ni jambo zuri kukumbuk fadhila kwa aliyekutendeah wema thnks meridian bet kwa information

    Jibu

    safi anakumbuka fadhila

    Jibu

    Inaonekana mourinho bado hanamapenzi na Manchester ila ndio ivyo tu kila kitu kinaenda na wakati

    Jibu

    Watu wema hukumbuka fadhila walizofanyiwa. McTominay anatukumbusha kuwa wenye fadhila#meridianbettz

    Jibu

    Anakumbuka fadhira

    Jibu

    Anajitahidi sana huyu jamaa

    Jibu

    Safi sana anakumbuka fadhila

    Jibu

    Ni vizuri kukumbuka fadhila

    Jibu

    Ni Jambo zuri ukiangalia Mourinho ndo alimpandisha bwanamdogo kucheza kikosi A

    Jibu

    Mtu akikufanyia mema ni vizuri kumkumbuka kwa wema wake

    Jibu

    Ukiishi vizuri na watu kukukumbuka ni muhimu sana

    Jibu

    Ni vizur kukumbuka fadhila

    Jibu

    Lazima akumbuke fadhira Mourinho alikuwa kocha bora sana

    Jibu

    Ni vizur

    Jibu

    Kiungo fundi anayekuja kwa kasi
    Viva man utd viva fundi wa mpira#meridianbettz

    Jibu

    Kuwakumbuka wenzio ni upendo tosha,kafanya la maana sana

    Jibu

    Anajitaidi Sana huyo dogo

    Jibu

    Ni vizuri akakubuka fadhara mournho

    Jibu

    Ni kitu kizuri sana kukumbuka fadhira

    Jibu

    Ile siku Jose Mourinho Anatimuliwa hata mie niliumia sana siwezi sahau#Meridianbettz

    Jibu

    Mc tominay ni mchezaji mwenye heshima kubwa na anakumbuka fadhila alizofanyiwa na jose mourinho,hii nzuri sana sio kwa tominay ila ningependa iwe kwa wachezaji wote man u maana nikocha ambaye aliyewafundisha pale old traford napia maelewano mazuri na kocha wanaweza kukutoa sehem kwenda nyingine safi mc tominay

    Jibu

    Jambo nzuri sana hilo mana amekumbuka wapi alipo toka na wapi yupo na ninani amemsaidia wapo watu wachache ambao huwa wanakumbuka sana fadhila asante sana meridian

    Jibu

    Saf San inaonekan dogo ananjaaa ya mafaniko

    Jibu

    N Jambo zur kuwa na shukran kwan man u walipata kocha mzur ila hawakuelewa mfumo wa Mourinho

    Jibu

    Pig respect to jose

    Jibu

    Ni jambo jema

    Jibu

    Ni jambo zr kulumbuka fadhila kwa mtu alie kutendea kuondoka kwake machon mwako sio sabab ya kuusahau utu wake kwako mc tominay anakumbuka alivyo tolewa academy mpk kwa wakubwa

    Jibu

    Nijambo zuri sanaaa

    Jibu

    Safi anakumbiluka fazila

    Jibu

    nzuri sana sio kwa tominay ila ningependa iwe kwa wachezaji wote man u maana nikocha ambaye aliyewafundisha pale old traford napia maelewano mazuri na kocha wanaweza kukutoa sehem kwenda nyingine safi mc tominay

    Jibu

    McTominay anatukumbusha kuwa wenye fadhila#meridianbettz

    Jibu

    Ni jambo nzur

    Jibu

    Nivizuri kukumbuka mema ambayo mtu kakutendea nasiyokuangalia mabaya tu#meridianbett

    Jibu

    Kafanya jambo la busara sana

    Jibu

    Ni vizuri kukumbuka fadhila kwa aina ya mchezaji Kama mc Tominay kukaba Sana anapokua dimbani ndio wachezaji wanao mvutia morinho

    Jibu

    Maoni:Hiyo safi sana

    Jibu

Acha ujumbe