Jose Mourinho alitupiwa virago na Manchester United, lakini bado ana mahusiano mazuri na wachezaji wake wa zamani.
Penati ya Bruno Fernandes ilihihakikishia United pointi moja walipocheza dhidi ya Spurs Ijumaa usiku na lilikuwa goli la dakika za majeruhi.
Tofauti na Scott McTominay, ambaye alimkimbilia Mourinho na kwenda kumkubatia baada ya mechi.
Mourinho alimpandisha McTominay kutoka akademi alipokuwa kocha wa United na kumsaidia kumbadilisha kuendana na mfumo wa Red Devils.
McTominay amekuwa akiimarika sana tangu Mourinho alipotimuliwa mwishoni mwa 2018 na amecheza mara 28 msimu huu chini ya Ole Gunnar Solskjaer.
McTominay hajasahau namna Mourinho alivyomsaidia ni mmoja ya wachezaji walikwenda kumkumbatia kocha huyo wa Spurs.
edgar
Kafanya vzr ila hapo mourhno kapata bichwa kweli na anavyopenda sifa
David Pere
Lazima amkumbuke Ndio alimpandisha kikosi Cha kwanza
Theckla
Anakumbuka fadhira
Issa
Lazima amkumbuke pia sababu mournho anajua kuendana na wachezaji wake
Hope mwaikuka
Vzur
Povel
Ni jambo zuri kukumbuk fadhila kwa aliyekutendeah wema thnks meridian bet kwa information
felister
safi anakumbuka fadhila
Zeiyana
Inaonekana mourinho bado hanamapenzi na Manchester ila ndio ivyo tu kila kitu kinaenda na wakati
Sadick
Watu wema hukumbuka fadhila walizofanyiwa. McTominay anatukumbusha kuwa wenye fadhila#meridianbettz
Mwanahamisi
Anakumbuka fadhira
Christopher
Anajitahidi sana huyu jamaa
isha
Safi sana anakumbuka fadhila
Caroline
Ni vizuri kukumbuka fadhila
Ernest
Ni Jambo zuri ukiangalia Mourinho ndo alimpandisha bwanamdogo kucheza kikosi A
Devotha
Mtu akikufanyia mema ni vizuri kumkumbuka kwa wema wake
Magdalena
Ukiishi vizuri na watu kukukumbuka ni muhimu sana
Theonestina
Ni vizur kukumbuka fadhila
Dorophina
Lazima akumbuke fadhira Mourinho alikuwa kocha bora sana
Rehema
Ni vizur
Hamidu
Kiungo fundi anayekuja kwa kasi
Viva man utd viva fundi wa mpira#meridianbettz
Elika
Kuwakumbuka wenzio ni upendo tosha,kafanya la maana sana
Lydia Emmanuel Magoti
Anajitaidi Sana huyo dogo
Genia Sikaluzwe
Ni vizuri akakubuka fadhara mournho
Mwanaidi
Ni kitu kizuri sana kukumbuka fadhira
warda
Ile siku Jose Mourinho Anatimuliwa hata mie niliumia sana siwezi sahau#Meridianbettz
Njiku
Mc tominay ni mchezaji mwenye heshima kubwa na anakumbuka fadhila alizofanyiwa na jose mourinho,hii nzuri sana sio kwa tominay ila ningependa iwe kwa wachezaji wote man u maana nikocha ambaye aliyewafundisha pale old traford napia maelewano mazuri na kocha wanaweza kukutoa sehem kwenda nyingine safi mc tominay
Ester jackson
Jambo nzuri sana hilo mana amekumbuka wapi alipo toka na wapi yupo na ninani amemsaidia wapo watu wachache ambao huwa wanakumbuka sana fadhila asante sana meridian
Amiri Kayera
Saf San inaonekan dogo ananjaaa ya mafaniko
Gabriel
N Jambo zur kuwa na shukran kwan man u walipata kocha mzur ila hawakuelewa mfumo wa Mourinho
Frank Patrick
Pig respect to jose
Salma
Ni jambo jema
Omary lukumbi
Ni jambo zr kulumbuka fadhila kwa mtu alie kutendea kuondoka kwake machon mwako sio sabab ya kuusahau utu wake kwako mc tominay anakumbuka alivyo tolewa academy mpk kwa wakubwa
Samiah
Nijambo zuri sanaaa
Fatuma kasomo
Safi anakumbiluka fazila
Rehema Dickson
nzuri sana sio kwa tominay ila ningependa iwe kwa wachezaji wote man u maana nikocha ambaye aliyewafundisha pale old traford napia maelewano mazuri na kocha wanaweza kukutoa sehem kwenda nyingine safi mc tominay
Amani
McTominay anatukumbusha kuwa wenye fadhila#meridianbettz
Emmy cleopa
Ni jambo nzur
Johnmary joel
Nivizuri kukumbuka mema ambayo mtu kakutendea nasiyokuangalia mabaya tu#meridianbett
Samira
Kafanya jambo la busara sana
Shafii
Ni vizuri kukumbuka fadhila kwa aina ya mchezaji Kama mc Tominay kukaba Sana anapokua dimbani ndio wachezaji wanao mvutia morinho
Sabrina
Maoni:Hiyo safi sana