Mctominay Njia Nyeupe kueleka Napoli

Makala iliyopita
Romeo Lavia Pancha TenaMakala ijayo
Simba Yaendeleza Vichapo
Kiungo huyo alikua anahitajika na klabu ya Fulham ambapo klabu hiyo jijini London haikua tarari kulipa kiasi cha Euro mlioni 30, Napoli wao wamekubali kutoa kiasi hicho cha pesa na hatimae Man United wamekubaliana na klabu hiyo jambo ambalo linakwenda kumaliza safari ya muda mrefu kiungo huyo ndani ya jezi ya Man Unied.