Hatua za awali kabisa za Ligi ya Mabingwa 2020/21 zimeendelea kwenye hatua za kufuzu kucheza ligi.
Wakati baadhi ya timu zikiwa zimeshafuzu moja kwa moja kwenye Ligi ya Mabingwa, baadhi ya timu ziko kwenye mzunguko wa kufuzu kushiriki ligi hii.
UEFA wametangaza kuwa mechi ya kufuzu ligi hii kati ya Drita na Linfield, imeahirishwa Jumanne baada ya mchezaji wa pili kuripotiwa kuwa na mambukizi ya Covid-19.
Baada ya mchezaji huyo kufanyiwa vipimo Jumatatu, na kubainika na maambukizi, mamlaka za afya Uswisi wameamua kuwaweka karantini timu nzima ya Drita kwa kuwa mchezaji huyu alikuwa akihusiana na wachezaji wenzake.
Kwa mujibu wa sheria za UEFA, timu ili iweze kucheza mechi inahitaji kuwa na wachezaji 13 ambao wapo katika hali nzuri.
Kutokana na changamoto hii, UEFA wataamua kuangalia uwezekano wa kuipangia mechi iliyoahirishwa tarehe nyingine, baada ya hali kuwa sawa.
Umekuwa mteja muaminifu wa meridianbet? Kuna zawadi kibao hadi 5% ya pesa yako inarejeshwa kwako. Kila wiki unaweza kurudishiwa mpaka Tsh 250,000.
Caroline
Hii Corona jamani.Mungu atuepushie tu jamani
Mwajumah
Duuh corona iliharibu Kila kitu#Meridianbettz
felister
duh corona noma
Njiku
Hii corona sio poa Dah tunakosa mkwanja kwa ajir ya corona
Sauda
Ugonjwa hatari sana
Sylvester
Afya kwanza mengine badae
Antony Luseno
Wamefanya jambo la maana
JULIANA
Da! Corona ugonjwa hatari
Tatu
Corona sio poa
Zeiyana
Hili gonjwa hatari
aisha
Corona sio ugonjwa wa mchezo mchezo
Shafii
Duh corona inatupotezea kabisa burudani.
Sadick
Maisha yanatakiwa kuendelea bila kuhofu sana ugonjwa huu ambao hatujui utachukua muda gani kuisha#meridianbettz
Ester jackson
Duuh corona kweli imatisha mana tumefika hatua zuri za final nayo inazidi kupamba kwa wachezaji mungu awe kinga kwetu mana inaogopesha sana
Rehema
Duuuh Corona imearibu
Zuhura omary kindamba
Corona ni ugonjwa hatali sana
Adelta
Hili gojwa la corona ni endelevu
Inabidi tuondoe hofu ili maisha yaendelee na kuzingatia Kinga
@meridianbettz
Saupha mohamed
Corona inatishaaa
Neema
Yaani coronaa Sio Poaw
Fatina mfingi
Coran sio powah!
Povel
Covid 19 noma sana hiiiiiii kila kitu majanga tu
Salma ngende
Dah!!! Janga la dunia
Theonestina
Corona Sio poa kabisa
Leonard
Corona hii
Dorophina
Dhaa Corona balaa sana tunakosa mechi hiv hivi
Khadija
corona jamani hatari#meridianbettz
Nasra
Corrona imeua Sana Radha ya soka ulimwenguni kote.
Devotha
Corona bado inaendelea kutuharibia burudani
Fatuma kasomo
Afya ndio kila kitu
Gabriel
Corona inaondoa uhondo kabisa
Sabrina
Duuuh corona kivuluge jaman!
Hope mwaikuka
Aisee corona
Mariam mtandama
Duuuh corona inatisha sana
Rose kapinga
Ni sawa tuu maana Kinga Bora kuliko tiba!!!
Ernest
COVID-19 inatupa wakati mgumu sana kwenye nyanja zote katika maisha, Mungu atufanyie wepesi kuhusu janga hili
Furahav
Corona haifai.
magdalena
huu ugonjwa umejua kutuharibia mipango mingi sana
David Pere
Afya kwanza mengine badae
warda
Corona kesha fanya yake tena
Lydia Emmanuel Magoti
Duu corona sio poa