Merry Christmas ni neno linalotamkwa zaidi katika siku ya leo na wachezaji wengi kupitia kurasa zao za Instagram wakiwa na familia zao.
Kupitia kurasa za twitter jumbe nyingi zimekuwa zikitumwa na wachezaji hao kutakiana sikukuu njema ya Christmas wakiwa na nyuso za furaha. Wachezaji wengi wametumia sikukuu hii kufurahia na familia zao na kuonyesha upendo.
Ronaldo, Messi, Werner, Havertz, Mbappe, Salah, Di maria, Thiago Silva na wachezaji wengine kibao wametumia kurasa zao za mitandao ya kijamii kusherekea na dunia katika sikukuu hii.

“Tunawatakia Kheri ya Christmas” Yenye Upendo, afya na Furaha” ameandika Ronaldo.


VUNA SHEA YAKO YA 230,000,000TSH NA UFURAHIE MSIMU HUU WA SIKUKUU!!!
Kupitia Kasino ya Mtandaoni ya Meridianbet, jiwekee nafasi ya kupata shea yako ya 230,000,000Tsh kupitia mchezo wa Secret Santa. Hakika hutojutia kufurahia msimu huu wa sikukuu ukiwa katika nyumba ya mabingwa ya Meridiabet. Unasubiri nini???



Adelta
Inapendeza kwa wachezaji 👏👏
Rahmal
Safi sana
Tatu
Safi
Sarah
Good
Shakila mrope
Asante san nanyi pia musherekee
Caroline
Asante na ww pia
Angelina
Safi sana
Issa
Ni kipind kizur kwao
Saupha mohamed
Nice
Lydia Emmanuel Magoti
Inapendeza sana
Hopemwaikuka
Same to them
warda
Kasoro mie tu ndo sijatupia na family