Ze Roberto ameweka kando upinzani wa jadi wa ma taifa katika soka kwa kuonesha kumkubali Lionel Messi.
Nyota huyo wa Barcelona hajawahi kushinda kikombe kikubwa akiwa na Arjentina na kuna walakini kama atashiriki michuano ijayo ya kombe la Dunia mwaka 2022.
“Ningefurahishwa sana kama Lionel angeshinda Kombe la Dunia kwa sababu itamfanya kujiita kuwa ni mchezaji bora katika Historia ya soka” Ze Roberto aliiambia TyC Sports.
“Ndiyo kitu pekee anachokosa katika ‘career’ yake.
Lionel ni miongoni mwa wachezaji bora kabisa Duniani kando ya Pele na (Diego) Maradona.
Hapa Brazil kuna vijana wengi wanampenda sana Messi,pengine kuzidi hata Neymar, hii ni kutokana na namna mshambuliaji huyo anavyocheza soka kwa mtindo ambao unafanana na namna wa Brazil wanavyocheza”.
Alipoulizwa kumlinganisha Messi na Maradona, Ze Roberto hakuwa na mashaka katika majibu yake
“Nimecheza dhidi yake na nimemuona akichaguliwa kuwa mchezaji bora wa Dunia mara sita” alisema mBrazil huyo.
“Ndiyo maana nachagua kubaki na Messi“.
“Amekuwa katika kiwango bora kwa zaidi ya miaka 10”. aliongezea Roberto
Nini kinachokupa raha kama michezo ya kasino ya mtandaoni? Hasa unapojua kuwa kuna ushindi, jackpot na mizunguko kibao ya bure.
Ungana na bwana Meridian kupata ushindi na burudani.
Ernest
Watu wengi tulitarajia hivi lakini kwa Messi amekuwa hana bahati na timu ya Taifa japokuwa Argentina imekuwa na mastaa wa kutupwa katika ulimwengu wa soka mbali na uwezo binasfi wa Messi lakini amekosa support kubwa kutoka kwa wachezaji wenzake.
Furahav
Apambane yeye km yeye ili achukue kombe hilo kubwa duniani.
Sauda
Kaza buti Messi
Rehema
Akaze buti bwana messi
Tatu
Kila kitu kina wakati wake
Genia Sikaluzwe
Inabidi aongeze juhudi za kupambana
Ester jackson
Ipo siku kitakuja kutimia ndoto hizo kwa messi
felister
Messi ni miongoni mwa wachezaji bora kabisa duniani
Lydia Emmanuel Magoti
Nikweli kabisa
Issa
Mess kavunja rekodi zote kasoro
Sadick
Messi anakipaji hasa lakini haiwezekani watu wote duniani tukapata vyote tunavyotaka,kumekuwa na migongano anapokuwa ktk kambi ya timu ya Taifa pengine ndio sababu ya kukosa mafanikio ktk ngazi hiyo#meridianbettz
Mwajumah
Mess chombo bwana Tena anajua akaze but tu#Meridianbettz
Fatina mfingi
Kila jambo linawakati wake
aisha
Asikate tamaa one day yes
Shafii
Licha ya kua na mafanikio makubwa kwenye soka la miguu jamaa ajakibeba kabisa kikombe cha dunia na umri nao unamtupa mkono kabisa.
Caroline
Kila kitu kinawezekana.
Sabrina
Akikaza atachukua kikao
Antony Luseno
Kutokushinda kombe hili ndo linamfanya aonekane sio bora kulingana na baadhi ya wachambuzi
Zeiyana
Mfalme huyu wa soka kiu yake kubwa ni kulibeba kombe la dua.
Johnmary joel
Azidi kupambambana hatafanikiwa#meridianbett
farida ahmadi
Hata mashabiki watafurahi kuona Messi akichukua kombe
Gabriel
Messi yuko vzur
Flomena
Messi Yuko vizur Ila timu isimtegemee mtu mmoja
Povel
Habar njema
Latifa juma mohamed
Apambane one day yes
marry
aweke malengo atafika mbal zaid
Amiri Kayera
Amekosa ilo kombe cjui miujiz itokee
Rose kapinga
Ipo cku atafika anapotaka asikate tamaaa!!!
Saupha mohamed
Mess yupo vizuro
Samiah
Yupo vzr mess
Hope mwaikuka
Messi is always a best prayer
Zuhura omary kindamba
Kazi kwake
Sylvester
Kwenye timu ya Taifa Messi anakuaga kama Messi hakuna ushiriakiano mkubwa na wachezaji wengine kama anavyokua Barcelona
Theckla
Messi hana bahati na Tim yake ya taifa
David Pere
Ni kweli kabisa maana Ndio kombe alklobakisha katika maisha yake ya kucheza soka
Dorophina
Messi mwaka huu amekuwa hana bahati ajaribu msimu ujao atafanikiwa
tumaini
hakika hiyo ndo kiu yake mungu amfanyie wepesi 2022 uwe mwaka wao argentina
Mwanahamisi
Kaza buti messi
Magdalena
Wakati wake utafika
Angelina
Goodupdate#meridianbet
Devotha
Messi hana bahati na timu ya Agentina
warda
Mie namwombea sana Ronaldo