Bosi wa klabu ya soka ya Barcelona inayoshiriki katika ligi kuu ya nchini Hispania, Quique Setien ameweka wazi kwamba mchezaji wake Lionel Messi yupo fiti kuumana na klabu ya soka ya Real Mallorca siku ya kesho, Jumamosi.
Kulikuwa na wasiwasi juu ya uwepo wa Muargentina huyo na kwamba angeweza kuichezea klabu yake ya Barcelona katika gemu ya ufunguzi wa La Liga Santander akiwa ametoka kuuguza majeraha yake ya misuli aliyoyapata wakati akiwa mazoezini.
“Hatukuwa na wasiwasi kuhusiana na uwepo wake tunapokwenda kupambana na klabu ya soka ya Mallorca,” Setien alisema hayo kuhusu Messi kupitia kwa Catalunya Radio. ”Pia, tuna wachezaji wengine ambao wana majeraha.”
Akaendelea, “Luis Suarez naye anatarajiwa kurejea uwanjani kwa mara ya kwanza tangu alipopata upasuaji wa goti mwezi Januari mwaka huu lakini bado Setien hana uhakika endapo ataanza kucheza katika kikosi cha kwanza wakiwa pale Son Moix.
Barcelona wanakamatia nafasi ya kwanza huku wapinzani wao wakiwa katika nafasi ya 18 ya msimamo wa ligi yao hiyo.
Emmy cleopa
Barcelona Yuko vizur sana
Ila ahsante kwa makara
Amani
Mechi hii baka anakufa Kama mtu anabisha tubetin na meridianbettz tuone me naenda weka mzigo kwa Mallorca#meridianbettz
Frank Patrick
Barca anakibarua kizito sana kwa hao jamaa ila namtabiria ushindi
Salma
Barca jeshii
Ester mmakasa
Mungu ampe nguvu messi ili afanye vizuri .
warda
Mie napenda Barca wafungwe#Meridianbettz
Sadick
Bila Messi Barcelona si lolote tena! Barcelona inatakiwa kujua kuna bila Messi #meridianbettz
lombo
mess hana maajabu tena kashazeeka mess wa sasa si yule wa zaman
Rehema
Jamani jamani Barcelona ni jeshii kubwa sn
felister
ahsante kwa taarifa
Antony Luseno
Messi apo lazima atupie nyavu ata mara mbili maana ni muda
Hamidu
Asante kwa update za michezo#meridianbettz
Elika
Messi yuko vizur sana
Magdalena
Barcelona atashinda
Lydia Emmanuel Magoti
Mtanange huo Atari Messi jeshi
Ester jackson
Barcelona yuko vizuri ila kwa hasaivi usajili wa real Madrid uko vizuri tusubiri tu dk 90
Dorophina
Barcelona inamtegemea sana Messi asingekuwepo wangechezea kichapo htr
Khadija
Jamani barcelon chama langu lazima aondoke na kijiji##meridianbettz
Hope mwaikuka
Barca noma
mwakalosi
Barcelona kwa sasa haiko sawa itabidi ipambane sana ili kupata matokeo
Johnmary joel
Klabu ya barca bila messi hawawezi kufika mbali#meridianbet
Caroline
Itakua mechi Kali
Neema hassan
Barcelona jembe
Neema juma
Messi kibokoo lazimaa akinukishee
Samira
Messi hajawahi kutuangusha mashabiki wa barcelona
Zeiyana
Mesi anaweza cheza bila ya hats suarez na akasumbua vile vile
Gabriel
Siku ya kesho gemu itakuwa yenye changamoto sana maana messie atakuwa na kiungo mtafutaji hivyo itakuwa na kibarua kizito
Mwanaidi
Huo ni mchuano wakukata na shoka aisee
Furahav
Habari nzuri
Shafii
Tulikua tunasubili vitu vya mchawi wa soka tulivimic Sana
Rehema
Barcelona iko vizuri sn itaahinda tuu
Theckla
Ushindi kwa Barcelona
David Pere
Messi ashakuwa joka la kibisa siku hizi makali Hana kabisa haohao malocca wanaafunga
Rehema Dickson
Barcelona si lolote tena! Barcelona inatakiwa kujua kuna bila Messi
Ernest
Welcome Back Suarez.
Mwajuma
Ngoja tusubiri tuone
Sylvester
Huyo ndio injini ya Barcelona awepo uwanjani ili mechi iwe nzuri na tuone magoli mengi#meridianbettz
Evaluziga
Mungu ampe nguvu Messi ili afanye vizuri
Leonard
Jambo zuri
Samiah
Mungu amjalie Messi ili afanikiwe
isha
barcelona anashinda maana mpira anaujua wewe
Povel
Game kali sana don’t miss
Theonestina
Barca jeshi kubwa
Asia Abdy
Tunasubir sana
Agness
Asante kwa makala nzuri meridani