Mikel Arteta anasema kuwa uamuzi wa kumtema Ozil kikosini, haukuwa uamuzi rahisi kwake.
Kuondolewa ghafla kwa nyota wa Arsenal, Mesut Ozil kwenye kikosi cha Arsenal cha Ligi ya Europa hatua ya makundi kuliwashitua wengi. Meneja Mikel Arteta anasema akifikiria.
Kwa mujibu wa Mikel Ateta, huu haukuwa uamuzi aliokurupuka kuufanya, na ulikuwa ni uamuzi mgumu kuufanya kwa sababu ya wachezaji wengine wa ziada kutoka nje.
Ilimpasa kufikiria namna anavyoweza kuboresha kikosi, na pia kutoa fursa kwa wachezaji ambao ni wengi. Anasisitiza kuwa katika maamuzi yake, si Ozil pekee ambaye alimuacha, na ilikuwa ni lazima afanye uamuzi.
“Hakuwa peke yake ambaye hakuwepo kikosini. Ulikuwa ni uamuzi mgumu sana kwangu, kwa sababu kuwaacha wachezaji nje ya kikosi wakijua hawawezi kushiriki kwa kiwango kile ilikuwa ni uamuzi mgumu sana.” – Mikel Arteta
“Sikupenda kabisa, lakini bado uamuzi ulipaswa kufanyika kwa sababu tuna wachezaji wa ziada kutoka nje na kwa bahati mbaya ilikuwa tuchukue uamuzi huo.” – Mikel Arteta
Naam, hapa ni mahali pako! Kuwa shujaa kwenye sloti hii ya Samurai Ken ujishindie mkwanja na kujipa burudani murua.Β
Mwajumah
Asante kwa makala
zeiyana
kuna mda unatakiwa ufanye mahamuzi magumu ili lengo lako litimie arteta hana kosa hapo yoyote kwa yote kutengeneza arsenal hirudi kwenye kiwango chake kile cha zamani
Tatu
Arteta ameona bora apumzishe ozil
Gabriel
Amefanya vzur sana π
Dorophina
Ameshamtema Ozil saiz ndio anamkumbuka arteta
lombo
sahh
Povel
Kuna wakati inabid ufanye maamuz magumu iliuwez kufany mambo yko yaende sawa pasipo kuogop walimwengu hiko ndicho ARTETA anachokifany kwa fundi master pass ASsist ndani ya EPL na Ulaya kwa ujumla OZil ilikuwez kufany mambo yake yaende ingawah sijambo rahis kama wengi wanavyofikiriah kutegeah kitendawil hiko swali linarud je gunner nawachezak waliopo wanawez kuziba pengo la OZil hapo mm na ww hatuna majibu majibu yapo uwanjan tuwape muda kuangaliah Gunner pengo la OZil litakuwah limezibwaΒΏ???
Mariam mtandama
Vizur
Sabrina
Safi sana Arteta kwa kuchukua maamuzi magumu
Hopemwaikuka
Bora
Elika
Safi sana
Fatuma kasomo
Gud
Janeflora malisa
Safi
Angelina
Kweli uamuzi mgumu
magdalena
ingawa ni maamuzi magumu kafanya ila ozil alikuwa na mchango mkubwa sana arsenal
jullie
kweli kabsa
Lydia Emmanuel Magoti
Nikweli kunamda unatakiwa ufikili kabla yakutenda Ozil nimchezaji mahili Sana hila akumpanga kipasavyo na Arteta kumuelewa Ozil angemuelewa angemuona wamana Sana kuliko alivyo tegemea
Sadick
Ni dalili tosha kwamba hana nafasi tena ktk kikosi cha Arsenal
Amiri Kayera
Zama za ozil zimeisha
aisha
Safi sana amefanya jambo la maana
Venerose
Habari njema
Saupha mohamed
Kwwli kabsaa
Ernest
Ni wazi Ozil anatakiwa kumaliza soka lake sehemu nyingine kwa Arsenal hakuna jipya
Sauda
Ukweli mtupu
Tahiya
Ngumu lakini kwa manufaa ya timu