Klabu ya Inter Milan ipo mazungumzoni juu ya mkataba wa nyota Zlatan Ibrahimovic na Gianluigi Donnarumma
Kwa mujibu wa mkurugenzi wa Inter Milan, klabu inafanya mazungumzo na masaa hawa juu ya mikataba yao mipya.
Ibrahimovic ametoa mchango wake klabuni hapo tangia alipowasili kama mchezaji huru mwezi Januari. Licha ya umri wake kumtupa mkono huku mkataba wake wa awali ukiwa unaisha mwisho wa msimu 2019/20, klabu inaonekana bado inahitaji huduma yake zaidi.
Nyota huyu mwenye umri wa miaka 38, ambaye pia aliwahi kuwepo Manchester United, Paris Saint Germain na Barcelona amefunga magoli 10 kwa 2020.
Alipoulizwa kuhusu hatima ya Ibrahimovic, Massara alisema kuwa wanafanya masiliano na wanajaribu kufanya kimya kimya.
“Tunazungumza na Mino Raniola na tunajaribu kufanya hivyo nyuma ya pazia, japokuwa siyo rahisi kuficha kila kitu kwenye vyombo vya habari siku hizi.”
“Kilichopo ni kuwa tutatathimini kwa pamoja, tutaangalia moyo na hamu ya kutaka kuwa sehemu ya shughuli, ambayo amekuwa mchango mkubwa kwa nusu ya pili ya msimu”
“Wote tunafuraha, hasa Ibra ambaye ameweza kuthibitisha thamani yake kwa Milan tena.”
Ibrahimovic na golikipa wa Milan, Donnarumma, wote wanawakilishwa na wakala mmoja ambaye ni Mino Raniola. Donnarumma yeye mkataba wake wa sasa ni hadi mwaka 2021.
Golikipa huyu awali alikuwa anahusishwa na vilabu vya PSG, Chelsea, Real Madrid na United. Lakini imeripotiwa kuwa atasalia San Siro. Ni moja kati ya mazungumzo yanayoendelea kati ya Milan na Raniola.
Nini kinachokupa raha kama michezo ya kasino ya mtandaoni? Hasa unapojua kuwa kuna ushindi, jackpot na mizunguko kibao ya bure.
Ungana na bwana Meridian kupata ushindi na burudani.
aisha
Inter millan mtafanya vizuri sana mkimpata ibrahimovic maana na ye yuko vizuri sana
felister
Ibrahimovick astaafu tu na yeye mana umri umeshamtupa mkono
Mwajumah
Mh Ibrahim astafu tu umri ushaenda
Magdalena
Inter wakubaliane wamchukue Ibrahimovic
Lydia Emmanuel Magoti
Ibrahimovic nae umli ushaenda Tena astafuu tuu
Povel
Hawa inter milan Sasa wamekuwah timu ya wazee maana kila mzee wanamtak akachezea kwao hau sasababu wanamaliziah mikataba yan wanapatikana bure ndo fursa kwao thnks kwa update
Dorophina
Ibrahimovic yupo vizuri uwanjani lkn sema anakasoro zake ndogo ndogo labda akienda huko atakaa sawa
Furahav
Iko vizuri
Adelta
Vizuri sana # meridianbettz
Antony Luseno
Milan lazima wampe tena mkataba mmoja
Mariam mtandama
Vizur
Flomena
Kilichopo ni kuwa tutatathimini kwa pamoja, tutaangalia moyo na hamu ya kutaka kuwa sehemu ya shughuli, ambayo amekuwa mchango mkubwa kwa nusu ya pili ya msimu
Devotha
Dah! Huyu mshkaji ataki kustaafu kabisa
lombo
asante meridianbet kwa habar moto moto
Sadick
Ibrahimovic apewe mkataba wa muda mfupi kutokana na umri wake. Wakati fulani Mino Raniola aliwahi elezwa na Alex Ferguson kwamba ndio wakala hatari zaidi Ulaya#meridianbettz
Gabriel
Club inter itafel kumpa mkataba mkongwe huyo inatakiwa labda apewe wa muda mfup maana inter inapaswa sasa wajiandae kusajil makinda
Leonard
Jambo zuri
Johnmary joel
Inter Milan mkiwapata wachezaji hao mtazidi kusonga mbele zaid#meridianbett
Amiri Kayera
Inter Milan hii sasa sifa
Chiku
Kazi na umri
Theonestina
Asanteni meridianbet kwa makala nzuri
Sabrina
Milan wamchukue tu
Rose kapinga
Ibrahimovic kazi na umri baba!!!
Janeflora malisa
Nice
Theckla
Ibrahimovic umri umekwenda binafsi ningependweza Kama angebaki hapo alipo
Rehema
Jambo zuri
Latifa juma mohamed
Habari njema.
Salma ngende
Abaki hapo hapo umri umeshaenda
Frank Patrick
Kwa huyu kipa sidhani kama atabaki
Mwanahamisi
Habari njema
Fatuma kasomo
Asante meridianbet
Samiah
Nihabari njema sanaaa
Shafii
Gud news.
Tatu
Asante makala
Isaya massawe
Ibrahimovic umri umekwenda lakini bado anafanya vizuri
Samira
Ibrahim angepumzika tu awaachie wenzake nao waonyeshe umahiri wao
Zeiyana
Bado yupo vizuri sana Ibrahimovic anazeeka na kipaji chake
Issa
Inter wanataka kuwachukilia vifaa mahasimu wao
Hope mwaikuka
Still anajiweza
farida ahmadi
Wamuache ibramovic haende tyuu
Saupha mohamed
Good news
Genia Sikaluzwe
Jambo jema
Omary lukumbi
Good new na vzr zaid kua na Ibrahimovic kama umekosa striker sokoni ni mtu hatar sana licha ya umri wake
Fatina mfingi
Nijambo njema
Amiri Kayera
Jamb zur
Asia Abdy
Vizuri
Fatuma kasomo
Jambo zuri
Saupha mohamed
Jambo jema
Ester jackson
Ni jambo nzuri sana ila wapewe mkataba mfupi mana umri nao umeenda
warda
Acha akamalizie mwendo huko
Chiku
Kazi na umri