Kiungo wa Barcelona Miralem Pjanic amesema kuwa anaikumbuka Italia, baada ya kusema kuwa haridhiki na mda wake wa kucheza wa sasa anahitaji kucheza zaidi.
Nyota huyu mwenye miaka 30 aliungana na Barcelona akitokea Juventus kwenye dili la kubadilishana wachezaji lililomuhusisha pia Arthur.
“Kiukweli, nashindwa kuelewa sababu ya hali hii. Nataka kucheza zaidi, natambua naweza kufanya makubwa. Wakati kocha aliponihitaji wakati wote nilikuwa tayari, nilifanya mazoezi na kucheza mechi nzuri. Zaidi ya hapo sikujua nini ningeweza kufanya.”
Miralem Pjanic ambaye ameamua kuweka wazxi kuwa sasa anakumbuka masiaha yake aya soka ya Italia, alitumia takribani miaka 9 kucheza soka la Itralia akiwa na vilabu vya Juventus na Roma.
Kwa mujibu wa staa huyu, mapenzi yake na Juventus ni makubwa, na anaamini kuwa klabu hiyo itaendelea kusalia moyoni mwaka. Kesho ni siku ya kukutana na wachezaji wenzake wa zamani wa Juventus pale Camp Nou.
MALIZA MWAKA KIBINGWA KWA KUJISHINDIA SHEA YAKO KWENYE SHILINGI 140,000,000TSH!!
Kipindi hiki cha sikukuu kinamalizika kwa namna ya kipekee. Shilingi 140,000,000 kushindaniwa katika michezo ya Evolution kwenye Kasino Mubashara ya Meridanbet. Ingia mchezoni na ujiwekee nafasi ya kushinda shea yako!!!
Ester jackson
Asante kwa habari
Theckla
Asante kwa taarifa
Asia Abdy
Nice
Magdalena
Kipindi yupo juve alikuwa anapata nafasi kubwa ya kucheza na ndo maana anapakumbuka
Farida ahmad
Good news
Sabrina
Italia alikua anapatanafasi lazima apakumbuke
Issa
Pjanic mchezaj makin sana
Hopemwaikuka
Sio mbaya Ila ndo bas tena
Lydia Emmanuel Magoti
Vizuri sio mbaya
Janeflora malisa
Asnt kwa taarif meridianbet
Rahma
Safi
Samira
Good update
warda
Ndo usha toka sasa
aisha
Nice