Habari zenu? Wikiendi iliyopita mkeka wangu wa Bundesliga nilioposti hapa ulishinda na ulikuwa ni katika gemu za Bundesliga ikiwa ni mara baada ya kurejea tena uwanjani. Ni matumaini yetu kuwa wikiendi hii tena tunachukua pesa kwa kushinda mkeka huu wa leo. Unaweza kubetia hapa hapa kama wiki iliyopita.
Hela ipo leo baada ya jana kuisha vizuri mifuko ikiwa imetuna, tupite nayo kama kipanga!
Mainz v RB Leipzig β Bundesliga
Hapa swali ni moja, je, hawa RB Leipzig watarejea katika fomu yao nzuri wakiwa wametoka kupokea sare tatu mfululizo? Kwa sasa wanakalia nafasi ya nne na wanaweza kwenda katika nafasi ya pili endapo kutakuwa na matokeo ya tofauti wikiendi hii.
Wameruhusu magoli mara mbili pekee katika gemu zao nane zilizopita katika mashindano yao yote na kwa siku za hivi karibuniΒ hawajaruhusu goli lolote katika gemu zao nne za ugenini walizocheza mbali na nyumbani kwao. Ukizingatia ya kuwa waliwatandika Mainz kwa bao 8-0 mapema msimu huu basi mimi naona kabisa kuwa kwa hakika wageni wataondoka na ushindi hapa.
Pia, chaguo la Both Teams to Score No litanipa hela leo. Siliachi.
Vikosi tarajiwa Mainz vs. RB Leipzig (inachezwa saa: 3.30pm CET/2.30pm GMT/9.30am ET)
Mainz: MΓΌller – Baku, St. Juste, Niakhate, Martin – Barreiro, Kunde – Onisiwo, Boetius, Quaison – Mateta
Nje: Zentner (goti)
Wanaohofiwa: –
Kocha: Achim Beierlorzer
Leipzig: Gulacsi – Klostermann, Upamecano, Halstenberg – Nkunku, Sabitzer (c), Laimer, Kampl, Angelino – Poulsen, Werner
Nje: –
Wanaohofiwa: Ampadu (mgongo), Forsberg (tonsilitis)
Kocha: Julian Nagelsmann
Twende kazi hapo.
Kusua sua kwa RB Leipzig, watarudi kwenye ushindi wao wa zamani?
Leipzig watajaribu kufikia mafanikio ya kile kipigo cha 8-0 kwa Mainz mapema msimu huu ulipoanza wakati sasa wakimtembelea huyo huyo adui wao wikiendi hii.
Hata hivyo, hao vijana wa Julan Nagelsmann hawapo vyema kwa sasa. Walishuka mpaka katika nafasi ya nne ya msimamo wa ligi ya Bundesliga wiki iliyopita.
Na kisha Monchengladbach wakapanda daraja hadi nafasi ya tatu baada ya sare yao ya 1-1 wakicheza pamoja na Freiburg wikiendi iliyopita. Hao Leipzig wameshinda mechi mbili pekee kati ya mechi zao saba zilizopita kwenye ligi na wana alama saba nyuma ya wale wanaoongoza ligi, Bayern. Bado kuna muda wa kutosha kwa Leipzig kurekebisha walipokosea mwanzo lakini inatakiwa waanze sasa hivi endapo wanataka kutwaa nafasi za juu za ligi yao.
Swai
Great
Emmy cleopa
Ahsante meridian kwa taarifa
Furahav
Weka jamvi sasa.
Tatu
Asante meridian
nasra
Safii sana meridianbet
Adelta
Asante kwa taarifa meridianbet
Tahiya
Habari nzur
Zeiyana iddi
Asante kwa taarifa
Hamidu
Watu wa ubashiri fursa ndo hiyooo
Lombo
meridianbet mambo mazur ngoja nchangamkie fulsa chap
Salma
Habari nzuri
Mariam mtandama
Safi
frank patrick
Habari nzuri sana
Neema juma
Habarii kabambeee
Ester
Good news
dorophina
Tnx meridian kwa taarifa
Khadija
Ahsante meridian kwa taarifa#meridianbettz
Mwajuma
Nawakubali sana
Povel
Habar njema kwa wapenda burudani na michezo
Rehema
Safi sn meridianbet mna Mambo mazuri
mwakalosi
muwe mnafanya hivi kila siku
Theckla
Nimependa bure
Evaluziga
Asanten Meridianbet kwa taarifa nzuri
Mwanaidi
Habari nzr
Mwanahamisi
Asante meridian kwa taarifa
Genia Sikaluzwe
Ni habari njema Sana
Samiah
Habari njema sanaa hz
Ester mmakasa
Mambo bado yako motomoto ,meridianbet mnajitahidi sana.
Rehema Dickson
Wakamalia wenzangu tukamate fursa
Neema hassan
Mko vizuri#meridianbettz
Antony Luseno
Nice update #meridianbettz
Kenani
Ongera kwao kwa juhud walizotumia
Hope mwaikuka
Safii
Aziza mushi
Mpo vizuri Sana meridiani.π
Lydia Emmanuel Magoti
Mpo vizuri meridian asanteni
Agness
Asante meridian kwa taarifa
Asia Abdy
Ushindi mnonoo
SADICK
Bahati huja kwa kujaribu#Meridianbettz
Isaya massawe
Hapa mmenifungua akili nishajua ntabeti vipi
Shafii
Nimekaa bila pesa kitambo Sasa ni wakati wa kukusanya mpunga
sylvester
Pesa humfuata shujaa,ngoja na mm nijaribu wiki hii #meridianbettz
felister
ngoja nikajaribu bahati yangu mie
Mwanaidi
Unabahatisha na unapata
Ernest
Asante Meridianbet nawakubali sana
Amani
Ngoja nibeti nanyi
Elika
Mko vizuri meridianbet daima tuko pamoja
Magdalena
Hii inaitwa bahatisha ubahatike na #meridianbet
David pere
Jamanii huku kumenogaaa njooni tupige pesaaa
aisha
Big up meridian bet
Asha
Gud newsππ
Issa
Habari nzuri