Mkude Kuwakosa Kaizer Chiefs

Uwezekano wa kiungo wa Simba, Jonas Mkude kucheza mechi ya kesho dhidi ya Kaizer Chiefs haupo. Si mmoja ya wachezaji waliokuwa kambini tangu waliporejea kutoka Afrika Kusini kucheza mechi ya mzunguko wa kwanza.

MkudeKocha Didier Gomes kwa kumkosa mazoezini Mkude tangu Jumanne, amefanya mipango mingine na nafasi yake anaweza kucheza Mzamiru Yassin.

Mzamiru anaonekana kuandaliwa kucheza sambamba na Thadeo Lwanga , kwani kukosekana kwa Mkude katika awamu tatu za mazoezi maana yake nafasi ya kucheza ni finyu.
Mkude
Alipoulizwa kocha wa Simba, Gomes alisema:”Mkude amekosekana kambini kutokana na sababu za Kifamilia.” Hakufafanua.


UNAWEZA KUWA MILIONEA WAKATI WOWOTE!

Zungusha na ushinde mkwanja wako papo hapo baada ya mzunguko kukamilika. Ni kugusa tu 🤑.

kane, Kane Aweka Wazi Maazimio Yake Kucheza UEFA., MeridianbetBASHIRI SASA

3 Komentara

    Duh balaa Sasa ilo

    Jibu

    Hatari sana

    Jibu

    Ni shida

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.