Raisi wa Hellas Verona, Maurizio Setti ameripotiwa kufanyiwa uchunguzi na kitengo cha upelelezi cha Guardia di Finanza kwa madai ya kuhusishwa na makosa ya udanganyifu, ufisadi na utakatishaji fedha.
Kwa mujibu wa mashirika ya habari Italia, Guarda di Finanza wamekusanya €6.5m kwa mfanya biashara huyu ambayo inadaiwa kuibiwa kwa Hellas Verona.
Taarifa zinataja kuwa, mwendesha mashtaka wa serikali Bologna amefungua upelelezi dhidi ya mfanya biashara huyu kwa tuhuma za ufisadi na kutakatisha fedha, kinyume na sheria.
Setti anadaiwa kuwa alifanya udanganyifu kwa kuchukua fedha za Verona ili kuokoa klabu yake nyingine anayomiliki isiweze kufilisika.
Kufuatia uchunguzi huo, mwendesha mashtaka wa serikali wa Bologna anasea Setti anatuhumiwa kuficha shughuli zilizopelekea uhamisho wa pesa hizo isivyo halali, na kutumia mbinu kadhaa kuficha pesa ambazo zimepatikana kwa njia isiyokubalika.
Hii ndiyo burudani yenye ushindi! Ingia kwenye kasino ya Meridianbet kufukuzia ushindi huu. Cheza sasa Lucky Lucky na uwe moja ya washindi na Mabingwa.
Wamfanyie uchunguzi kama ni kweli jamaa ni fisadi basi shelia ifuate mkondo
Kweli anawakati mugumu
Baba utoshek
Kweli anawakati ngumu
Uendeshaji wa Club uwe wazi na matumizi ya fedha pia. Tusubiri kuona mwisho wake
Kama atapatikana na atiba hukumu ina muhusu
Tusubiri tuone mwisho wake itakuwaje
Duhhh
Sio poa
Tusubilie mwisho wa uchunguzi kama anaatia achukuliwe sheria
Tunasubiri mwisho
Duuh sio poa
Makala mzur
Atulie tu
Sheria ifate mkondo wake