Klabu ya Real Madrid inajiandaa kumuongezea mkataba mpya kiungo wa Croatia Luka Modric (35) kulingana na wandishi Fabrizio Romano.
Luka Modric alikua anahusishwa na kujiunga ligi kuu ya marekani(MLS) baada ya kumaliza mkataba wake mwishoni mwa msimu.

Klabu ya La Galaxy ilikua tayari kumsajili na kumfanya mchezaji anaelipwa pesa ndefu kwenye MLS.
Modric ameshinda jumla ya mataji 17 akiwa na Real Madrid ikiwemo mataji 4 ya Ligi ya Mabingwa (UEFA), 2 ya La Liga, 1 Copa del Rey na 3 FIFA Club World cup.
Mataji binafsi ni pamoja na tuzo ya kiungo bora wa La liga (2016) kwa mara ya pili, kiungo bora wa mashindano ya UEFA mwaka 2017 na 2018.
VUNA SHEA YAKO YA 230,000,000TSH NA UFURAHIE MSIMU HUU WA SIKUKUU!!!
Kupitia Kasino ya Mtandaoni ya Meridianbet, jiwekee nafasi ya kupata shea yako ya 230,000,000Tsh kupitia mchezo wa Secret Santa. Hakika hutojutia kufurahia msimu huu wa sikukuu ukiwa katika nyumba ya mabingwa ya Meridiabet. Unasubiri nini???




Hopemwaikuka
He deserve this
Tatu
Safi sana
Sarah
Good news
Shakila mrope
Nice
Lydia Emmanuel Magoti
Safii
Adelta
Inapendeza
Fatuma kasomo
Safi
Caroline
Safi sanaaa
Theonestina
Hongera modric
Saupha mohamed
Safii
Issa
Baki home
Rahmal
Safi
warda
Itakuwa poa sana
Chiku
Wanajua sio mchezo