Na wewe unaweza kukubaliana na Luka Modric? Kwa mujibu wa staa huyu, yeye anaona kuwa ili nyota kinda wa PSG aweze kutoboa zaidi katika soka asepe PSG.
Kama ulikuwa haufahamu, Mbappe katika umri wake wa miaka 21 tu tayari ameshashinda mataji 4 ya Ligue 1, Coupe de France la Ligue, na pia tayari ameshashinda kombe la Dunia akiwa na Ufaransa. Mafanikio ambayo wengi mno wameshindwa kuyafikia kwa umri kama wake.
Staa huyu amekuwa akihusishwa sana na klabu ya Real Madrid, ambako kama akienda atakuwa chini ya mfaransa Zinedine Zidane. Hata hivyo, wikiendi Mkurugenzi wa soka, Leonardo alisema kuwa klabu haitarajii kuwauza Mbappe wala Neymar.
Lakini, kwa mtazamo wa Modric, kama Mbappe anataka kuwa mchezaji atakayetawala soka dunia nzima -kama wakina Messi na Ronaldo basi lazima asepe klabuni PSG.
Kwa mujibu wa Modric, Ligue 1 haina ushindani mkubwa. Hivyo Mbappe anahitaji ushindani mkubwa zoidi kuwa mfalme wa soka ulimwenguni.
Akizungumza na Gazzetta dello Sport Luka Modric alisema:
“Mbappe ana kila kila kitu cha kumfanya atawale, lakini nadhani ili waweze kuwa bora zaidi anahitaji kwenda kwenye michuano ambayo timu haishindi kiurahisi.”
Lydia Emmanuel Magoti
Nivizuri huwamuzi wake upo sahii
David Pere
Ukiangalia Kama ni kweli sababu PSG sio klabu ya kuweza kumpa mbape mafanikio Kama mchezaji
Rehema
Sio mbaya Yuko sahihi
Gabriel
Mm niko pamoja na Luka modric kuwa mbappe anatakiwa kuondoka Madrid iliaweze kukutana na changamoto nyingi sana kuliko kukaa PSG anapoteza muda
Theonestina
Asanteni meridianbet kwa taarifa
Magdalena
Aende tu katika club nyingine ili apate uzoefu zaidi na wa aina tofauti tofauti
Mwanaidi
Duuuh wamuache bhana
Tahiya
Duuh kijana ni bora haende Real Madrid kule ligi yao inapenda na kiwango chake kitaimarika
Ester mmakasa
Sasa siinabidi wamfanyie mpango ili ahamie mahali wanapoona atakuwa na mafanikio kwake.
felister
Mbappe ana kila kitu kinachomfanya atawale
Furahav
Ni kweli anatakiwa aje Real atatoboa.
Johnmary joel
.maamuzi yake yapo sahih#meridianbett
Leonard
Kweli anachosema modric
warda
Zidane hawezi mwachia huyu Dogo#Meridianbettz
Kenani
Modrick yupo sahihi
Hamidu
Luca modrik kiungo fundi.
Zeiyana
Ni kweli me nipo pamoja na modric kama kweli mbappe hanataka kuwa mchezaji hatakaye tawala soka la dunia kama wakina messi hau lonaldo bas lazima haame PSG
Genia Sikaluzwe
Ahsant meridian kwa taarifa
Dorophina
Mawazo yake sio mabaya lkn mbona psg amepata jina ba amejulikana na kupata tunzo inamaana psg bado Ni timu nzuri inayomfaa
Emmy cleopa
Ahsante kwa taarifa #meridianbettz
Evaluziga
Kweli anachosema madric
lombo
modrick yuko sahih
Antony Luseno
Uwo ni mtazamo wake mbona wapo wachezaji wengi wamepata mafanikio makubwa tu na klabu mmoja tu adi kustaafu
Caroline
Modric anaweza kuwa yupo sahihi.but not sure
isha
Yuko sahihi modric aende tuu psg akafanye mambo makubwa
Adelta
Yuko sahii
Sylvester
Nakubaliana nae kw 100% dogo akajaribu zali kwingine kwani Ufaransa kumepooza sana na aangalie mafanikio mengine na kujenga jina katika soka
Povel
Yupo sahh kutafuta changamoto mpya za maisha ya soka ikihawez kufikiah malengo thnks meridian bet tz kwa update za michezo
Ester jackson
Lakini, kwa mtazamo wa Modric, kama Mbappe anataka kuwa mchezaji atakayetawala soka dunia nzima -kama wakina Messi na Ronaldo basi lazima asepe klabuni PSG.
Hope mwaikuka
Mbape fundi
Theckla
Yuko sahihi
Shafii
Yuko sawa
Elika
Mbape bado ni bora kwangu
Samiah
Hana mpinzani mbappe
Khadija
Yupo sahihi#meridianbettz
Devotha
Mimi sikubaliani nae
Salma
Aende madrid atakuwa sahihi
Ernest
Naweza kubaliana na wazo la Modric hasa kwa upande wa kutwaa mataji makubwa zaidi, naona itachukua muda mrefu kwa mbappe kutwaa taji kama la Uefa champions akiwa na PSG
farida ahmadi
Ni kweli Yuko sahihi kabisah
Issa
Modric ni noma