Mosimane Atwaa Super Cup na Al Ahly

Akiwa na Miezi 7 na Siku 28 Kocha wa Al Ahly ya Misri Pitso Mosimane na Benchi lake la Ufundi wamefanikiwa kuipatia Al Ahly Kombe CAF SUPER CUP 2021 mchezo uliopigwa pale Doha Nchini Qatar.

mosimane

Ahly wametwaa taji hilo la 7 Kwenye historia yao Kwa kuifunga RSB Berkane ya Morocco.

Pitso Mosimane na wenzake walijiunga na Ahly September 30,2020 mafanikio yake hadi sasa ni.

Egypt Cup 🏆 2019-20
CAF Champions League 🏆 2019-20
FIFA World Cup 3rd Place🏅2020
CAF Super Cup 🏆 2021

Msimu Huu wa 2020-21,
Kwenye Ligi Kuu Misri nafasi ya pili Hadi sasa wapo nyuma ya Zamalek Kwa alama 13 huku Ahly wakiwa na viporo 5.

Ahly ipo hatua ya 16 michuano ya Egypt Cup 2020-21

Klabu bingwa Barani Afrika Ahly ipo hatua ya nusu fainali Msimu huu wa 2020-21


BONASI YA 50% KILA SIKU KATIKA KASINO ZA EVOPLAY HAPA MERIDIANBET.

Meridianbet na Evoplay Kasino wanakupa bonasi ya 50% ya kiasi utakachoweka katika akaunti yako leo. Unasubiri nini ni wakati wa kupiga pesa sasa na Mabingwa.

tuchel, Tuchel :Tuna Bahati Tottenham Wametusaidia Kazi., Meridianbet

SOMA ZAIDI

5 Komentara

    Bado ana kazi kubwa ya kuwaridhisha Waarabu wanaoonekana wanataka sana mafanikio makubwa

    Jibu

    Pongezi kwao

    Jibu

    Safi sana

    Jibu

    Pongezi kwake

    Jibu

    Safi wababe

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.