Fenerbahce ya José Mourinho iko tayari kumsajili Youssef En-Nesyri kutoka Sevilla. Mchezaji huyo wa kimataifa wa Morocco aliripotiwa kuwa mmoja wa walengwa wakuu wa Roma katika ushambuliaji.
Fenerbahce ya Mourinho iko tayari kumsajili mshambuliaji huyo wa Morocco En-Nesyri kutoka Sevilla, kulingana na mtaalam wa uhamisho wa Italia Matteo Moretto.
Pia meridianbet inatoa michezo ya kasino ya mtandaoni kama vile, Aviator, poker, Roullette, sloti na mingine kibao. Ingia meridianbet na ucheze sasa.
Kulingana na ripoti ya X, zamani Twitter, mshambuliaji wa kati mwenye umri wa miaka 27 atasafiri hadi Uturuki leo kufanyiwa vipimo vya afya na kikosi cha José Mourinho.
Fabrizio Romano anaongeza kuwa Fenerbahce italipa zaidi ya €20m kumsajili mshambuliaji huyo. En-Nesyri lilikuwa mojawapo ya majina ya msingi kwenye ajenda ya Roma, lakini Giallorossi walishindwa kufikia makubaliano na Sevilla.
Alexander Sørloth wa Villarreal na Jonathan David wa Lille ni miongoni mwa washambuliaji kwenye ajenda ya Giallorossi.
Roma walimrudisha Romelu Lukaku Chelsea baada ya mkopo wa mwaka mmoja na hawako tayari kumtegemea Tammy Abraham mnamo 2024-25. Vyanzo vingi vinadai kwamba Giallorossi wamemtoa mshambuliaji huyo wa zamani wa Chelsea kwa vilabu kadhaa barani Ulaya, wakiwemo wapinzani wao wa Serie A, Milan.
This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.
Strictly Necessary Cookies
Strictly Necessary Cookie should be enabled at all times so that we can save your preferences for cookie settings.
If you disable this cookie, we will not be able to save your preferences. This means that every time you visit this website you will need to enable or disable cookies again.