Mourinho: Arsenal Wajiandae Kukutana na Kane

Jose Mourinho anaamini Harry Kane atashiriki kwenye debi ya kali ya kaskazini mwa jiji la London dhidi ya Arsenal licha ya kuendelea kuuguza jeraha ambalo litamfanya mshambuliaji huyo wa Tottenham asiwe kwenye mechi yao ya Ligi ya Uropa na LASK.

Tottenham wanabaki kileleni mwa Ligi ya Premia kwa tofauti ya mabao tu dhidi ya Liverpool licha ya kulazimisha sare ya 0-0 dhidi Chelsea kwenye mechi yao ya mwisho.

Kane alicheza dakika 90 kamili huko Stamford Bridge lakini kunaonekana kuwa shaka kama atakuwa sawa kuelekea dabi dhidi ya Arsenal ambao wanashikilia nafasi ya 14 kwenye msimamo wa ligi.

Mourinho: Arsenal Wajiandae Kukutana na Kane

Wakati akiweka wazi kuwa Erik Lamela, Carlos Vinicius na Sergio Reguilon pia wana majeraha, Mourinho aliuambia mkutano wa waandishi wa habari:

“Lamela ana jeraha kwa takribani wiki tatu au mwezi. Siamini kama anaweza kuwa na nafasi wikendi. Harry, Vinicius na Sergio – wanaweza kuwa na nafasi ya wikendi.”

Kuhusu Kane, “Sitakuambia hali ya jeraha lake [Kane]. Nadhani ana nafasi nzuri – ya kucheza dhidi ya Arsenal.”

“Sitaki kusema uwongo, sitaki kuficha chochote kuhusiana na kwamba atacheza au la? Nadhani atacheza. Hiyo ni hisia yangu kwamba atacheza.”

Kane ana mabao saba katika michezo 10 ya Ligi Kuu msimu huu na asilimia 66.67 ya nafasi zake kubwa, kwa data ya Opta.


 

FURAHIA MUZIKI MTANDAONI HUKU UKITENGEZA MKWANJA!!

Mchezo wa Astro Legend unakupatia burudani ya muziki kupitia kasino ya mtandaoni ya Meridianbet. Utaburudika huku ukiendelea kutengeza mkwanja mrefu, jiunge sasa na uwe miongoni mwa mabingwa!!

INGIA MCHEZONI

21 Komentara

    Wajipange vizuri#meridianbett#

    Jibu

    Wajipange vizuri patakuwa apatoshi hapo

    Jibu

    saf

    Jibu

    Arsenal sijui kama watauweza mziki wake

    Jibu

    Arsenal wanammudu kabisa kane

    Jibu

    Arsenal wajipange vizur

    Jibu

    Itakuwa ngumu ila kama Tottenham wakiwapa mwanya kidogo tu basi arsenal atakuwa kidedea kwa ushindi

    Jibu

    Kane atawanyoosha

    Jibu

    Arsenal wanafungwa na spurs

    Jibu

    Arsenal wenyewe wapo vizuri Hapo vimba uvimbiwe

    Jibu

    Habari njema hizi kane kuingia uwanjani

    Jibu

    Noma

    Jibu

    Arsenal wajiandaeh kupokea mvua ya magoli kutokA kwa son $ kane $ bale katika london derby sunday

    Jibu

    Itakuwa ngumu ila kama Tottenham wakiwapa mwanya kidogo tu basi arsenal atakuwa kidedea kwa ushindi

    Jibu

    Mmh london derby kane atakosekanaj

    Jibu

    Hayaaa

    Jibu

    Safi

    Jibu

    Safi

    Jibu

    Safi

    Jibu

    Aombee apone mapema

    Jibu

Acha ujumbe