Jose Mourinho anaamini Harry Kane atashiriki kwenye debi ya kali ya kaskazini mwa jiji la London dhidi ya Arsenal licha ya kuendelea kuuguza jeraha ambalo litamfanya mshambuliaji huyo wa Tottenham asiwe kwenye mechi yao ya Ligi ya Uropa na LASK.
Tottenham wanabaki kileleni mwa Ligi ya Premia kwa tofauti ya mabao tu dhidi ya Liverpool licha ya kulazimisha sare ya 0-0 dhidi Chelsea kwenye mechi yao ya mwisho.
Kane alicheza dakika 90 kamili huko Stamford Bridge lakini kunaonekana kuwa shaka kama atakuwa sawa kuelekea dabi dhidi ya Arsenal ambao wanashikilia nafasi ya 14 kwenye msimamo wa ligi.
Wakati akiweka wazi kuwa Erik Lamela, Carlos Vinicius na Sergio Reguilon pia wana majeraha, Mourinho aliuambia mkutano wa waandishi wa habari:
“Lamela ana jeraha kwa takribani wiki tatu au mwezi. Siamini kama anaweza kuwa na nafasi wikendi. Harry, Vinicius na Sergio – wanaweza kuwa na nafasi ya wikendi.”
Kuhusu Kane, “Sitakuambia hali ya jeraha lake [Kane]. Nadhani ana nafasi nzuri – ya kucheza dhidi ya Arsenal.”
“Sitaki kusema uwongo, sitaki kuficha chochote kuhusiana na kwamba atacheza au la? Nadhani atacheza. Hiyo ni hisia yangu kwamba atacheza.”
Kane ana mabao saba katika michezo 10 ya Ligi Kuu msimu huu na asilimia 66.67 ya nafasi zake kubwa, kwa data ya Opta.
Mchezo wa Astro Legend unakupatia burudani ya muziki kupitia kasino ya mtandaoni ya Meridianbet. Utaburudika huku ukiendelea kutengeza mkwanja mrefu, jiunge sasa na uwe miongoni mwa mabingwa!!
Johnmary jo
Wajipange vizuri#meridianbett#
Lydia Emmanuel Magoti
Wajipange vizuri patakuwa apatoshi hapo
lombo
saf
Magdalena
Arsenal sijui kama watauweza mziki wake
Sabrina
Arsenal wanammudu kabisa kane
Fatina mfingi
Arsenal wajipange vizur
Ester jackson
Itakuwa ngumu ila kama Tottenham wakiwapa mwanya kidogo tu basi arsenal atakuwa kidedea kwa ushindi
Caroline
Kane atawanyoosha
Samira
Arsenal wanafungwa na spurs
Tatu
Arsenal wenyewe wapo vizuri Hapo vimba uvimbiwe
Dorophina
Habari njema hizi kane kuingia uwanjani
Fatuma kasomo
Noma
Povel
Arsenal wajiandaeh kupokea mvua ya magoli kutokA kwa son $ kane $ bale katika london derby sunday
David Pere
Itakuwa ngumu ila kama Tottenham wakiwapa mwanya kidogo tu basi arsenal atakuwa kidedea kwa ushindi
Issa
Mmh london derby kane atakosekanaj
Hopemwaikuka
Hayaaa
Janeflora malisa
Safi
[email protected]
Game ilikua tafu sana
Mariam mtandama
Safi
samiah
Safi
warda
Aombee apone mapema