Jose Mourinho bado anahitaji kuwa na subra na kujikita kwenye mipango yake ya kufanya vyema kama meneja na kuachana na hofu ya kupoteza kazi yake kama meneja wa Tottenham Hotspur kwa sasa.
Licha ya kuiongoza Spurs kwenye fainali ya Kombe la EFL, fomu ya klabu kwenye Ligi Kuu imeleta mashaka juu ya hatma ya Mourinho kwa siku zijazo.
Kwa mujibu wa Telegraph, mwenyekiti wa Spurs Daniel Levy kwa sasa hana nia ya kuachana na Mourinho. Bado ana matazamio kuwa Mourinho anweza kufanya mabadiliko kikosini hapo.
Hata hivyo, ripoti hiyo inaongeza kuwa ikiwa watapoteza mechi dhidi ya West Bromwich Albion Jumapili kunaweza kusababisha mabadiliko ya hali ya hewa nyuma ya pazia klabuni hapo.
Spurs pia inakabiliwa na safari kwenda kukipiga dhidi ya Man City na West Ham United ya kabla ya kumaliza mwezi Februari.
Neptune’s Richies ni mchezo Unaokupa pesa chap chap huku ukiwa unaburudika kupitia Kasino ya Mtandaoni ndani ya Meridianbet.
Sania
Mourinho anajiamini
Lydia Emmanuel Magoti
Vizuri
Adelta
Good
Sarah
Vizuri
Magdalena
Mourinho nae anajiamini sana
Venerose
Mourinho yupo vinzur
Caroline
Mourinho ana nafasi bado
Hopemwaikuka
Namuelewa sana huyu
Dorophina
Jose anajihisi kwasababu ameshaanza kufanya vibaya
warda
Sasa hivi uhakika kabisa
Khadija
kwa nn Sasa hadi awe na hofu na klabu yake