Msimamo wa Ligi Kuu Tanzania Bara ikiwa ni mzunguko wa pili kwa sasa timu zikipambania kombe, nne zitashuka jumlajumla na mbili zitacheza play offs.
Kuanzia nafasi ya 15-18 zitashiriki Ligi Daraja la Kwanza zikimaliza nafasi hiyo mpaka mwisho na zile zilizo nafasi ya 13 na 14 zitacheza play offs na timu kutoka Ligi Daraja la Kwanza. Ambapo leo kitapigika kati ya Mbeya City na Ruvu Shooting majira ya saa nane mchana.
Hii ndiyo burudani yenye ushindi! Ingia kwenye kasino ya Meridianbet kufukuzia ushindi huu. Cheza sasa Lucky Lucky na uwe moja ya washindi na Mabingwa.
aisha
Naombea simba ushindi
Johnmary jo
Simba win
Issa
Mikia ubingwa hawachukui
Adelta
Ngoja tusubiri tuone itakuwaje ndani ya dakika90
Theonestina
Simba bigwa
dorophina
Tusubilie kuona nani atakuwa bingwa
Lydia Emmanuel Magoti
Tusubili tuone
Mwanahamisi
Ngoja tuone
Angelina
Mnyama