Msimu mpya wa soka wa Ligi Kuu ya Uingereza na EFL unatarajia kuanza mapema Septemba 12.
Msimu huu mpya wa soka unatarajiwa kufika mwisho mapema tarehe 23 Mei 2021 kwa Ligi Kuu ya Uingereza. Wakati, kwa Championship, Ligi Daraja la Kwanza na Ligi Daraja la Pili zitaisha tarehe 8 na 9 Mei.
Mechi za mtoano ya kufuzu ngazi za ligi zingine zitachezwa wikiendi ya mwisho ya mwezi mei.
Kampeni ya sasa ya Ligi Kuu ya Uingereza inafika tamati Jumapili baada ya kusimama kwa takribani miezi mitatu kwa sababu ya janga la Covid19.
Wakati Championship ikitarajiwa kuisha Jumatano, huku hatua ya mtoano ikiwa inasubiriwa kuchezwa Agosti 8. Wakati huo mechi nyingi zaidi za Ligi Daraja la Kwanza na la Pili bado hazijachezwa.
Premier League wanasema kuwa bado wanaendelea kufanya maljadiliano na Shirikisho la Soka na EFL juu ya mechi zote zilizosalia kwa mechi za ndani.
Kwa sababu ya thamani ya pesa yako, kwa kila muamala unaofanya wa kuweka pesa kwenye akaunti yako ya Meridianbet unapata 5% bonasi.
Omary lukumbi
Duu hatar sana mnamo 12 sept vumbi kutimka tena upya ila wamefix vzr ili tuende sawa na msimu unaofata
Shafii
Patachimbika viwanjani maana kila timu itakua imejipanga kwa msimu mpya.
neema hassan
Asante kwa habari za michezo#meridianbettz
Genia Sikaluzwe
Habari njema hizo
Hope mwaikuka
Umekaa gud
Tahiya
Ni taarifa nzur
David Pere
Hapo kidogo timu zitapata muda wakupumzika
Aziza mushi
Habarii njema hizi
warda
Mambo Yatakuwa Mazuri sana#Meridianbettz
Dorophina
Mambo yamenoga msimu utakuwa wa kukata na shoka maana safari hiyo kila timu haitakubali kushindwa
felister
patakua hapatoshi mana kila mtu atakua amejipanga upya msimu ujao
Khadija
Jamani mambo yatakuwa mazuri sana#meridianbettz
aisha
Msimu ujao kazi wanayo watu wajipange
Njiku
Safii sana hii
Rehema
Safi
mwajumah
Habari njema#Meridianbettz
Salma ngende
Ni taharifa nzuri
Gabriel
Habar njema sana 👍 imekaa poa sana
Rasmi Msimu mpya EPL Septemba 12
Katika taarifa ambayo imetolewa na chama hicho inasema kuwa kuwa msimu mpya wa 2020-2021, utaanza Septemba 12, mwaka huu. Pia inatarajiwa kumalizika Mei 23, 2021 lakini bado viongozi wa chama hicho wanashauriana ili kupanga tarehe mpya ya michuano ya FA na EFL.
Ligi hiyo inatarajiwa kumalizika Jumapili ijayo huku bingwa akiwa ni Liverpool ambaye amechukua taji hilo baada ya zaidi ya miaka 30 kupita tokea msimu wa 1980-90.
Tarehe ya kuanza tena kwa ligi hiyo imetajwa mapema zaidi kulinganisha na ligi nyingine ambazo licha ya bingwa mpya kujulikana lakini bado ratiba inasuasua, utaratibu huo umekuwa ni wa muda mrefu kwa Ligi Kuu England.
Amiri Kayera
Wapo mchak mchaka
Asia Abdy
Tunasubir kwa ham
lombo
gud news
Furahav
Safi sana.
Povel
Habar njema
sabrina
Hatari sana patakua hapatoshi
Ernest
Tutasubiri kwa hamu kuona EPL ikitimua vumbii tenaa
Theckla
Asante kwa habari
Magdalena
Safi Sana Bora msimu uanze upya tujinyakulie mkwanja na #meridianbet
devotha
good newz