Kiungo mkabaji wa Yanga, Mukoko Tonombe bado ameendelea kuipa heshima timu hiyo baada ya kuitwa mara ya pili katika kikosi cha timu yake ya taifa ya DR Congo 🇨🇩
Mukoko ameitwa sambamba na viungo wenzake 8 ambao watacheza mchezo wa kimataifa wa Kirafiki dhidi ya Tunisia Juni 10.
Mukoko amesema: “Ni furaha kwangu kuwa katika sehemu ya timu ya Taifa lakini kuitwa ni hatua moja muhimu ni kwenda na kufanya kazi nzuri kuanzia mazoezini.
:
“Ushindani wa namba ndio kitu kigumu kuna wachezaji wengi bora na wakubwa ambao natakiwa kwenda kushindana nao, nimejipanga kwa utayali wa ushindani huo ili niwe katika orodha ya wachezaji 11 watakaoanza.
Zungusha na ushinde mkwanja wako papo hapo baada ya mzunguko kukamilika. Ni kugusa tu 🤑.
Magdalena
Safi Sana kijana endelea kupiga kazi
aisha
Big up kwake
Caroline
Hongera
Furahav
Vizuri.
Sarah
Safi