Mukoko Kuikosa Yanga Vs JKT

Mkuu wa Kitengo cha Habari na Mawasiliano wa Yanga, Hassani Bumbuli, amefunguka kuelekea mchezo wa leo na hali ya majeruhi ndani ya kikosi.

mukoko

“Kwa mujibu wa kocha Nabi katika kuelekea mchezo wetu wa Ligi dhidi ya JKT atawakosa wachezaji wake nyota watatu waliokuwepo katika kikosi cha kwanza katika michezo iliyopita ya Ligi.

“Wachezaji hao ni Mukoko Tonombe yeye alipata maumivu ya bega makali, tupo naye kwenye msafara ulioelekea Dodoma kucheza na JKT katika mchezo wa ligi.

“Tumekuja naye baada ya kupata nafuu atakawepo katika mchezo ujao wa FA dhidi ya Mwadui, Ninja na Carlinhos wenyewe bado wanaendelea na matibabu na hawapo katika msafara wetu,” amesema Bumbuli.


UNAWEZA KUWA MILIONEA WAKATI WOWOTE!

Zungusha na ushinde mkwanja wako papo hapo baada ya mzunguko kukamilika. Ni kugusa tu 🤑.

BASHIRI SASA

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.