Muller, Hummels Warudi Kikosini Euro 2020.


Kocha wa Ujerumani, Joachim Low amewarudisha kikosini wakongwe, Thomas Muller na Mats Hummels baada ya kuondolewa katika kikosi hicho kwa takribani miaka miwili iliyopita.

Muller na Hummels wametajwa katika kikosi cha wachezaji 26 wa kikosi cha Ujerumani kilichoitwa kwaajili ya mashindano ya Euro 2020 yanayotarajiwa kuanza June 11.

Wachezaji hao waliondolewa kwenye kikosi cha timu ya taifa ya Ujerumani mwaka 2019 wakati meneja Joachim Low alipokuwa anataka kuweka vijana katika timu hiyo.

Hummels ambaye alicheza na Muller pale Bayern Munich kati ya mwaka 2016 na 2019 aliweka wazi furaha yake katika akaunti yake ya twitter iliyosomeka ” Ninafuraha kuichezea tena timu yangu ya taifa ya Ujerumani”.

Muller pia aliweka ujumbe wake ulioambatana na picha yake uliosomeka ” Nimerudi tena timu ya DFB”.

Wachezaji hao walikuwa katika kikosi cha Low kilichochukua kombe la dunia mwaka 2014.


PESA IPO HAPA KATIKA KASINO YA LUCKY LUCKY.

Hii ndiyo burudani yenye ushindi! Ingia kwenye kasino ya Meridianbet kufukuzia ushindi huu. Cheza sasa Lucky Lucky na uwe moja ya washindi na Mabingwa.

CHEZA HAPA

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.