Taarifa nyingi zinataja kuwa klabu ya Napoli wameikataa ofa ya Atletico Madrid ya Arkadiusz Milik, na mshambuliaji huyu pia haitaki Fiorentina.
Napoli wanatajwa kuwa wanahitaji angalau €15m kumuuza mshambuliaji huyo ambaye kimsingi atakuwa mchezaji huru pale mkataba wake unapoisha Juni 30.
Kwa mujibu wa vyanzo vya Calciomercato, AS na RMC Sport, wameikataa ofa hiyo kwa kile kinachotajwa kuwa ni ofa ndogo.
Atletico wanaripotiwa kuwa walikuwa wamejiandaa kutoa kiasi cha €6-7m kwa nyota huyu raia wa Poland, wakati pia Marseille nao wakiwa hawajajiandaa kufikia dau la €15m wanalolitaka Napoli.
Klabu pekee ambayo inaonekana kuonekana kuwa tayari kutoa ofa ya kiasi ambacho klabu inakitaka ni Fiorentina, lakini mshambuliaji huyu hana mpango wa kihamia Fiorentina.
Milik amekuwa nje ya kikosi tangia alipokataa kusaini mkataba mpya au kukubali kukamilisha uhamisho.
Ndio, kwetu Mteja ni mfalme. Jiunge sasa na familia ya Meridianbet bila malipo yeyote na sisi tutakuzawadia bonasi ya shilingi 3,500 kama sehemu ya kukukaribisha kwenye familia hii BURE!!!. Unasubiri nini??
Adelta
Napoli wafanye maamuzi sahihi wasije kujuta baadaye
Magdalena
Kama hana msaada na timu wampotezee tu
Dorophina
Usajili umepamba moto
Hopemwaikuka
Kaz kwel kwel
Saupha mohamed
Usajili upo moto
Rahmal
Mambo yamepamba moto
Sarah
Kazi ipo
Mwanahamisi
Kazi ipo
Janeflora malisa
Duh
Latifa juma mohamed
Kazi ipo hapo.
felister
sio poa
Lydia Emmanuel Magoti
Duu sio poa
Gabriel
Nice upadate 👍
warda
Basi bado wanamtaka
Sania
Kazi ipo
Tatu
Sio poa
Sabrina
Kazi Kweli Kweli
Issa
Napoli kaz kaz kwa millik