NBA Kurejea Julai 31 katika Eneo Moja Bila Mashabiki huko Frolida

Michezo iliyobakia ya kukamilisha msimu wa kikapu huko Marekani #NBA inawezwa kuchezwa kwenye eneo la mapumziko la Disney Frolida kuanzia tarehe 31 Julai.

Msimu wa NBA ulisimamishwa hapo Machi 11 kutokana na janga la Corona. Timu 13 kutoka ukanda wa Magharibi na timu 9 kutoka ukanda wa Mashariki zitachuana katika michezo nane kwa kila timu na kisha kucheza Play-Off.

Mapendekezo ya timu zote 22 za NBA ni kwamba zitacheza katika eneo moja na kuchezwa bila mashabiki ili kupunguza maambukizi ya Virusi vya Corona. LA Lakers, LA Clippers, Denver Nuggets, Utah Jazz, Oklahoma City Thunder, Houston Rockets, Dallas Maverick na Memphis Grizzlies zishafuzu kucheza kwenye Play off kutoka ukanda wa Magharibi.


Milwaukee Bucks, Toronto Raptors, Boston Celtics, Miami Heat, Indiana Pacers, Philadelphia 76ers, Brooklyn Nets na Orlando Magic zimechukua nafasi ya play off kwenye ukanda wa Mashariki.

Timu hizo 16 zitaungana na New Orleans Pelicans, Portland Trail Blazers, Phoenix Suns, Sacramento Kings na San Antonio Spurs kutoka ukanda wa Magharibi na Washighton Wizard kutoka ukanda wa Mashariki.

Tarehe ya hivi karibuni inayotajwa ya kukamilisha msimu huu, ambao ni mchezo wa fainali ya NBA inatajwa kuwa Oktoba 12.

44 Komentara

    Ni sawa NBA kwa uwamuzi wenu kwasababu ugonjwa bado haujaisha .

    Jibu

    Hii habari iko poa sana.

    Jibu

    Nasubiri kuona Kelvin Durant akifanya vitu vyake#meridianbettz

    Jibu

    Safi sana kwa uwamuzi wenu ugonjwa haujaisha.

    Jibu

    dah lakini sio mbaya,nitasubili ili nione chama from city by the bay golden state warriors

    Jibu

    Safi uwamuzi nzuri

    Jibu

    Duh! Bila mashabiki Ndio kilichobaki michezo yote Sasa hivi

    Jibu

    Uwamuzi mzuri sanaaa

    Jibu

    Habari njema hii japo bila ya mashabik

    Jibu

    Tumemisi kikapu

    Jibu

    Safi sana kwa uamuzi wenu ugonjwa bado haujaisha

    Jibu

    Ni vizuri kwa uamuzi waliofanya
    Kwa sababu ugonjwa haujaisha

    Jibu

    Finale mchezo pendwa warud

    Jibu

    Tunasubiri kwa hamu..

    Jibu

    Bora maana nilimic sana basketball

    Jibu

    Kwa mashabiki wa kikapu kazi kwetu Sasa

    Jibu

    safi lakini haitonoga bila mashabiki

    Jibu

    Asanteni kwa kunijuza

    Jibu

    Itafika mwisho tuu.Nba nawo watakuwa na mashabiki

    Jibu

    Iko powa tutaangalia tu kwa luninga

    Jibu

    Muda wa kuwaona watu kama lebrone wakifanya mambo yao uwanjani

    Jibu

    Ni muda mzuri kwa sisi wapenzi wa nba bado atujachelewa sana tunasubir kuona makal ya wachezaji wetu baada ya kua nje kwa kipindi hicho chote kutokana na janga la corona

    Jibu

    Always king James Fan …

    Jibu

    itakuwa poa sana aisee

    Jibu

    Wasiwasi ndio akili, NBA wako sahihi gonjwa la corona alijaisha bado tunaishi nalo.

    Jibu

    Itakuwa pouwa sana

    Jibu

    Toronto Raptors nilimiss Sana hii timu inawachezaji wanao jituma

    Jibu

    Kilichobaki kukubaliana na ali iliyokuwepo mambo yaendelee tu..!tulimic sana NBA

    Jibu

    Itakuwa poa sana

    Jibu

    Habari njema sana

    Jibu

    Wavimilie tu kucheza bila mashabiki.maana hili janga Sio poa

    Jibu

    Mpira bila mashabiki ata hainogi.lakini hawana jinsi

    Jibu

    ama kwa hakika dunia inafunguka sasa, maana michezo mingi ilikua imesimamishwa sasa inarejea kumalizia misimu yao ambayo ilikua imebakia. #meridianbet

    Jibu

    Itanoga kwel bila mashabiki

    Jibu

    Kwa ajili ya hili gonjwa sio mbaya kwa maamuzi yao

    Jibu

    Wenye moira wao wa kikapo wanarudi uwanjani sasa

    Jibu

    Inapendeza kuona michezo mbali mbali ikirudi

    Jibu

    Safi Sanaa kwa maamuzi.

    Jibu

    Gud news

    Jibu

    Asante kwa kunijuza

    Jibu

    Safi

    Jibu

    Itakuwa vizur sana

    Jibu

    Maoni:iko poa hii fresh tu

    Jibu

    […] ya mpira wa kikapu nchini marekani Blooklyn Nets imefanya usajili wa mchezaji wa zamani wa timu hiyo Michaell Beasley ili kuisaidia timu hiyo kunako ligi ya […]

    Jibu

Acha ujumbe