Neymar amekuwa kwenye kiwango bora tangu arejee katika majukumu yake na PSG na kocha wake Thomas Tuchel anatarajia kuendelea kuyaona makubwa hayo dhidi ya Atalanta katika Ligi ya Mabingwa Ulaya.
Neymar ametupia kambani katika michezo yote ya UEFA dhidi ya Borrusia Dortmund katika hatua ya 16 bora.
Amekuwa kwenye kiwango kizuri tangu kurejea kwa michuano baada ya ‘lockdown’ huku akifunga katika michezo ya kirafiki dhidi ya Le Havre, Waasland-Beveren na Celtic.
Pia alifunga bao la ushindi kwenye mchezo muhimu wa fainali ya Coupe de France dhidi ya Saint-Etienne mwezi uliopita.
“Anapenda mechi kubwa na anapenda kuamua mechi. Ni mchezaji unayepaswa kumuamini katika michezo mikubwa”.
“Nina imani kuwa ataonesha kiwango bora na ndiye mwenye funguo zetu za ushindi, ana uzoefu na nyakati kama hizi” aliongeza Tuchel.
Umekuwa mteja muaminifu wa meridianbet? Basi fahamu kuwa kuna zawadi kibao hadi 5% ya pesa yako inarejeshwa kwako. Kila wiki unaweza kurudishiwa mpaka Tsh 250,000.
Rehema
Asante meridianbet kwa habari njema
Theonestina
Asante meridianbet kwa makala nzuri
Fatina mfingi
Ni habar njema sna!
Povel
Habar njema kwa mashabik wa psg Kama fundi wao wa mpr hatakuwep
Mwajumah
Ni habari njema sana#Meridianbettz
Dorophina
Habari njema lazima Neymar atakiwasha tu
Sauda
Habari njema kwa mashabiki wa Soka
aisha
neymar yuko vizuri sana na pia kutokana na kocha wake hodali naamini tutapata mengi zaidi #meridianbet
Shafii
Neymar ni mchezaji mzuri Sana tatizo majeruhi ya Mara kwa Mara yanamkwamisha.
Leonard
Neymar atafanya makubwa haswa kipindi hiki cha Uefa
Salma ngende
Neymar ni mchezi mahili
felister
habari njema kwa mashabiki wa psg
Ester jackson
Neymar ni mchezaji mzuri sana ninaweza sema hivyo kwa sababu anauwezo wa kuwa kama messi na ni nafikiri kuwa atafanya mabadiliko kwenye mchezo wa leo
Khadija
habari njema#meridianbettz
Caroline
Neymar tunakuamini usituangushe.
Nasra
Neymar kinachomfanya asiwe na muendelezo wa kiwango chake na kufikia Yale mafanikio ya kina Messi na Ronaldo Ni majeruhi ya Mara kwa Mara.
Sadick
Neymar anatakiwa kusaidia PSG kushinda kutimiza kusudi la usajiri wake la kusaidia timu ktk Ligi hii muhimu barani Ulaya#meridianbettz
Zeiyana
Siku zote neymar yupo vizuri kimchezo akuna clabu yoyote hambayo haimtaki neymar
Devotha
Neymer mchezaji mahili sana PSG watafanya vizuri kwenye mchezo huo
Fatuma kasomo
Habari njema
Sabrina
Neymer yupo vizuri ninaimani ataendelea atafanya mazuri zaidi
Tatu
Neymar anajiami sana
Gabriel
Hii mech itakuwa kal sana kwan Atalanta nao wamejianda vzur sana
farida ahmadi
Hongera Sana neymar
Hope mwaikuka
Gud to hear this from him
Mariam mtandama
Habari njema
Rose kapinga
Hongera neymar!!!
Samiah
Neymar hongera
Adelta
Neymer Yuko vizuri
@meridianbettz
Fatina mfingi
Neymer hatar tupu
Njiku
Good news
Lydia Emmanuel Magoti
Safii Sana Neymar kwasasa anakijua Nini anafanya jembe hilo
Ernest
Tuchel anatakiwa aangalie pia mchango wa Mbappe kwenye timu, Binafsi Mbappe ndio chachu kubwa ya ushindi wa PSG
Furahav
Neyma anakipaji sana.
Saupha mohamed
Good news
magdalena
neymar yupo fiti sana ata alipo ikabili atalanta alionesha umahili wake mpaka kuupata ushindi
David Pere
Good news
warda
Neymar Anajua sana basi tu