Klabu ya Simba SC imekamilisha usajili wa kocha wa makipa Milton Nienov raia wa Brazil kuchukua nafasi ya Mohamed Mwalami aliyefutwa kazi tangu October 29 mwaka Jana.
Simba SC ilimtambulisha kocha huyo katika kurasa zake za kijamii jana jioni baada ya kufikia makubaliano ya kukinoa kikosi hicho chenye makazi yake msimbazi.
Nienov ambaye amewahi kuzifundisha timu za Free State, Polikwane na Golden Arrows za Afrika kusini yupo jijini Dar Salaam muda wowote kuanzia sasa ataanza kazi kuwa kocha wa makipa wa klabu ya Simba kwa mkataba wa miaka miwili.
Pokea mualiko wa Meridianbet na Pragmatic Play kutengeneza mkwanja kwenye kasino ya mtandaoni sasa. Jiunge sasa kupata ishindi huu.
Sania
Milton tunasubiri tuone maajabu yako hapo Simba
Venerose
Tunatakaa tuone mabadiliko
Adelta
Sisi kama mashabiki tunasubiri tuone maajabu
Shakila mrope
Karibu san multon simba sport is
Angelina
Tunataka tuone maajabu
Magdalena
Mabadiliko katika timu ndo Jambo la msingi
Dorophina
Kila lakheri kwake
Caroline
Ngoja tuone
Ernest Kimeru
Simba wawekuja kivingine sana ngoja tuone safari yao itakuaje, Pongezi kwao
Hopemwaikuka
Cjaelewa hapa
Lydia Emmanuel Magoti
Vizuri Sana
warda
Ajitahidi tu
Rahmal
Macho ya mashabiki yote yapo kwako tunasubiri tuone utendaji wako
Sarah
Ngoja tuone