KIUNGO Mshambuliaji wa Yanga, Denis Nkane amefunguka kuwa malengo yake makubwa ni kucheza ligi ya La Liga.
Nkane ambaye amekuwa na msimu bora alijiunga na Yanga kwenye dirisha dogo la usajili msimu huu akitokea Biashara United ya Mara.
Akizungumzia malengo yake kinda huyo amesema kuwa “Nilipoingia Yanga nilikuja kwa kuwa na malengo makubwa ambayo ni ya kuhakikisha nafikia mipango yangu.