Emmanuel Okwi mshambuliaji wa kikosi cha Al-Ittihad ya Misri amekutwa na Virusi vya Corona hivyo atakosa mechi kadhaa ndani ya Ligi Kuu ya Misri.
Raia huyo wa Uganda ambaye amecheza pia Ligi Kuu Bara ambapo alicheza ndani ya Simba kwa wakati tofauti pia alicheza kikosi cha Yanga atakosa mchezo pia dhidi ya Pyramids FC baada ya kukutwa na Corona.
Mabosi wa Al-Ittihad wamethibitisha kwamba Okwi ana Corona na hayupo nchini Misri kwa sasa bado yupo Uganda.
“Safari ya kurejea kwa mshambuliaji wetu ambaye anacheza timu ya taifa ya Uganda imesimamishwa baadaye kukutwa na Corona.
“Matokeo hayo ameyapata akiwa nchini Uganda kwani bado hajarejea nchini Msiri nasi tunamuombea apone haraka,” ilieleza taarifa ya klabu.
Okwi alikuwa na kikosi cha timu ya taifa ya Uganda kilichokuwa zikisaka tiketi ya kufuzu Afcon ambapo timu yao ipo kundi B.
MALIZA MWAKA KIBINGWA KWA KUJISHINDIA SHEA YAKO KWENYE SHILINGI 140,000,000TSH!!
Kipindi hiki cha sikukuu kinamalizika kwa namna ya kipekee. Shilingi 140,000,000 kushindaniwa katika michezo ya Evolution kwenye Kasino Mubashara ya Meridanbet. Ingia mchezoni na ujiwekee nafasi ya kushinda shea yako!!!
Lydia Emmanuel Magoti
Duu pole yake Okwi
Adelta
Okwi pole Sana ukizingatia mashart
Utapona usiogope
Sarah
Pole sana okwi
Hopemwaikuka
Ugua pole Okwi
Khadija
pole sana okwi
Ernest
Corona janga la hatari sana linazidi kutesa ulimwengu
Sadick
Namukumbuka kwa mchango wake mkubwa club ya Simba ambako alicheza kwa mafanikio makubwa
Ally mohamedi ally
Habar mbaya hyoo
Caroline
Pole sana
Dorophina
Pole yake okwi
Mwanahamisi
Pole sana okwi
Issa
Korona sio poa
Tatu
Pole yake
warda
Pole yake Okwi wangu
Rahma
Pole sana okwi
aisha
Pole sana okwi